Kila mmoja anatoka pangoni na lake 🤣🤣🤣View attachment 2506233
Serikali yaeleza sababu kuu 4 za kupanda kwa bei ya chakula nchini :-
1. Athari za janga la Uviko-19
2. Athari za vita ya Ukraine
3. Mabadiliko ya tabia nchi
4. Kupanda kwa bei ya mafuta duniani
Kupanda kwa gharama za maisha imesababishwa na kupanda kwa mfumuko wa bei duniani na ndio maana Serikali ya Rais Samia Suluhu inapunguza gharama za kilimo kupitia ruzuku ya pembejeo za kilimo ili kupunguza gharama za mazao.
UONGO MTUPU watanganyika Sio Wajinga kihivyo hatudanganyikiView attachment 2506233
Serikali yaeleza sababu kuu 4 za kupanda kwa bei ya chakula nchini :-
1. Athari za janga la Uviko-19
2. Athari za vita ya Ukraine
3. Mabadiliko ya tabia nchi
4. Kupanda kwa bei ya mafuta duniani
Kupanda kwa gharama za maisha imesababishwa na kupanda kwa mfumuko wa bei duniani na ndio maana Serikali ya Rais Samia Suluhu inapunguza gharama za kilimo kupitia ruzuku ya pembejeo za kilimo ili kupunguza gharama za mazao.
Vipi kuhusu kuuza chakule nje ya nchi?View attachment 2506233
Serikali yaeleza sababu kuu 4 za kupanda kwa bei ya chakula nchini :-
1. Athari za janga la Uviko-19
2. Athari za vita ya Ukraine
3. Mabadiliko ya tabia nchi
4. Kupanda kwa bei ya mafuta duniani
Kupanda kwa gharama za maisha imesababishwa na kupanda kwa mfumuko wa bei duniani na ndio maana Serikali ya Rais Samia Suluhu inapunguza gharama za kilimo kupitia ruzuku ya pembejeo za kilimo ili kupunguza gharama za mazao.
Of course bila kusahau kuwa kupanda kwa EU ya nyama na maharagwe ni good news kwa wakulima na wafugaji, amvao ni 88% ya Watanzania. This means that- in net terms - we are as Tanzanians grateful for the increase in farm prices this gives good income.View attachment 2506233
Serikali yaeleza sababu kuu 4 za kupanda kwa bei ya chakula nchini :-
1. Athari za janga la Uviko-19
2. Athari za vita ya Ukraine
3. Mabadiliko ya tabia nchi
4. Kupanda kwa bei ya mafuta duniani
Kupanda kwa gharama za maisha imesababishwa na kupanda kwa mfumuko wa bei duniani na ndio maana Serikali ya Rais Samia Suluhu inapunguza gharama za kilimo kupitia ruzuku ya pembejeo za kilimo ili kupunguza gharama za mazao.