Serikali yaeleza sababu kuu 4 za kupanda kwa bei ya chakula nchini :-
1. Athari za janga la Uviko-19
2. Athari za vita ya Ukraine
3. Mabadiliko ya tabia nchi
4. Kupanda kwa bei ya mafuta duniani
Kupanda kwa gharama za maisha imesababishwa na kupanda kwa mfumuko wa bei duniani na ndio maana Serikali ya Rais Samia Suluhu inapunguza gharama za kilimo kupitia ruzuku ya pembejeo za kilimo ili kupunguza gharama za mazao.