Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Badala ya kufanyia kazi madhaifu yenu mmeanza vitisho sasa ili kutunyamazisha na Kwa taarifa yenu hatutanyamazia uovu kamwe mpaka kielewekeMkuu pamoja na kwamba upo Uhuru sana, siyo kila jambo la Mwajiri wako upeleke Mitandaoni hasa nyaraka za malipo serikalini. Imagine wewe jalada lako binafsi pia serikali au Afisa mmoja akachapisha hapa taarifa zako utajiskiaje? Kanuni Na.8 ya ajira yako imekusisitiza Kamwe taarifa za Mwajiri wako usizitoe kwa mtu yeyote yule lkn wewe hapo umenakili maneno ya Waraka wa SIRI mtandaoni ambao hata Rais hakuutaja wakati wa MEI MOSI. Sio tu kwamba unaleta usumbufu kwa Wafanyakazi wenzako lkn inakuweka kwenye wakati mgumu sana ikitokea bahati mbaya ukabainika. Jiepusha sana na haya makitu Mkuu. Ni ushauri tuu mkuu otherwise nyongeza tunaisubir huku Mtaani iongeze mzunguko wa pesa.
Walimu, walimu, walimu. Wanachosha sana hawa.walimu hawajanufaika
Mkuu sina uwezo wala msuli wa kutisha mtu, nimetoa ushauri tu. #Bandari kwanza Mengine baadae#Badala ya kufanyia kazi madhaifu yenu mmeanza vitisho sasa ili kutunyamazisha na Kwa taarifa yenu hatutanyamazia uovu kamwe mpaka kieleweke
Enheeee🤣🤣🤣Walimu, walimu, walimu. Wanachosha sana hawa.
Kwann hawaandamani kama Mwabukusi ili kudai haki zao? Ni wanafiki, machawa na ndumila kuwili. Matope hawa!