Serikali yafanya ubaguzi kwenye nyongeza ya mshahara

Kanuni zmefatwa


ILA walichoongezew kwa kweli NI maumivu[emoji613][emoji613][emoji613]
 
Badala ya kufanyia kazi madhaifu yenu mmeanza vitisho sasa ili kutunyamazisha na Kwa taarifa yenu hatutanyamazia uovu kamwe mpaka kieleweke
 
Badala ya kufanyia kazi madhaifu yenu mmeanza vitisho sasa ili kutunyamazisha na Kwa taarifa yenu hatutanyamazia uovu kamwe mpaka kieleweke
Mkuu sina uwezo wala msuli wa kutisha mtu, nimetoa ushauri tu. #Bandari kwanza Mengine baadae#
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…