Serikali yafungua milango ya majadiliano kwa magazeti yaliyofungiwa

Mbona maelekezo ya rais yapo wazi tu. Ni wapi kaongelea "tv za mitandaoni" pekee?!!!

MATAGA wa wizarani wana mamlaka juu ya rais, au?!!!

Kitendo cha Abbas na genge lake KUDUNISHA na KUSIGINA maelekezo ya rais na amiri jeshi mkuu yaliyotolewa hadharani ni dalili mbaya sana kwa mustakabali wa taifa.

Ina maana hakuna haja ya kukubali, kutii wala kutekeleza maelekezo yake🙄
 
Tangu lini Chadema wakaitakia mema ccm hadi wajipe kazi ya kumsifia rais Samia?.

Kazi ya kumsifia rais Samia ni ya MATAGA siyo ya chadema
Wanaomsifia mh. Bi-mkubwa ni umma wa Watanzania, siyo wanachama wa vyama
 
Haki inajadiliwa au inatolewa ? Kukaa mezani ni kutaka kuweka masharti kinyume na katiba kwenye uhuru wa vyombo vya habari. Ni nini huyo aliyefunga hivyo vyombo anataka kujadili ili hali wakati anavifungia hakuwaita mezani? Avifungulie kama alivyovifunga. Aache longolongo zisizo na msingi.
 
Tangu lini Chadema wakaitakia mema ccm hadi wajipe kazi ya kumsifia rais Samia?.

Kazi ya kumsifia rais Samia ni ya MATAGA siyo ya chadema
Stupidity of the highest order. There is no president of ccm , there is president of TANZANIA and for Tanzanians.
 
Rais pekee atayekuja kuibadilisha Tanzania ni kutoka upinzani. Mungu atupe maisha marefu tuje kushuhudia hii.
 
Walah madam President asipokuwa kuwa makini ataendeshwa Sana na hawa masalia ya mataga

Kauli ya Rais n sheria Haina mjadala lakn watendaj wameifanya kuwa mjadala anacheza na nyani ..asubir mavuno
Hawa kenge Abbas na Bashungwa ningekua mimi rais asubuhi tu hawana kazi.
 
Rais mbona analaumiwa kuwa hana msimamo? kwa kipi?, mbona watu hatuna subira? kwani Rais alishinikizwa kufungulia vyombo vya habari ama ni mapenzi na nia njema iliyosukumwa na utu wake?. Tangazo halina hata siku tano leo watu mnamjia juu rais eti anayumbishwa badala ya kumpongeza au nyie ndio wale wale kama akina Cypian Musiba. Mmenihuzunisha kwa kweli, kuna baadhi ya watu humu hata jf inapopata misukosuko kama akina Melo kuburuzwa mahakamani mnafurahia wakati hii jf mnaitumia pia.
 
wadanganye tu hapo atakapowapapasa makalio ndio tutajua amiri Jeshi mkuu ni nani ,hao mapapeti wa malaiaka wa chattle au Mama Samia
 
Huyu ni bure kabisa, atakuwa kituko kuzid Jiwe. Hamna kitu pale ni wasted resource
nenda zako Jiwe hata siku ina masaa mangapi hajui? sasa angalau magazeti yameanza kununuliwa.
 
Lawama ni kwa hao waliotengua agizo la RAISI. Walipaswa watekeleze sio kuligeuza geuza kukidhi matakwa yao. Kwani raisi alisema wakae na vyombo vya habari ndio wavifungulie ???
 
Yaani huyu Waziri anatufanya kuwa hatukumsikia mheshimiwa Rais kweli?
 
N mm cjamwelewa mama samia au hao wachini aliowapa maagizo ndio hawajamwelewa mama maana kila mmoja anasema lakee
Shida kubwa tanzania hawa mawaziri kujia chini siku zote husubiri neno la rais ndio wafanye kazi sio creativity wa mambo, Na Rais alisema wakawe wabunifu, hii nchi huko ilikotoka na hasa hapo alipokuja kuishika mama samia walikuwa wakiongozwa kwa mihemuko, mtu anadhalilika na taaluma yake anakuwa hawezi kuanya kazi kama taaluma yake inavyomuongoza, na kwa mfano kesho rais akisema hayo magazeti yafunguliwe watamtaka rais pia ataje na majina ya magazeti ili ku-specify. Ndio inferior ya hawa watu vichwa vyao kama vimewekwa gundi kali sana
 
Rushwa hapa IPO kwann wafike ofisini kwake!?? Kwa Rais alisema hivyo???
 
Mh Rais kua makini na watendaji has a walioachwa na Rais aliyepita watakuangusha amini.nakwambia kuna watu mawaziri walilewa vyeo sasa wana kuwekea maneno ambayo hukuyasema kua makini huku bara kuna midubwana hatari sana !!!! Ona. Suala LA kufungulia vyombo linavyochukuliwa na madubwana
 
Tangu lini Chadema wakaitakia mema ccm hadi wajipe kazi ya kumsifia rais Samia?.

Kazi ya kumsifia rais Samia ni ya MATAGA siyo ya chadema
Rais akifanya vizurri atasifiwa na kila MTU na akifanya hivyo kama bwana yule alipondwa hata na mridhi wake
 
Sasa kama ni mapenzi yake kwann aliyemteua abadili???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…