Serikali yafuta vijiji na vitongoji vyote vya wamasai wa Ngorongoro kupitia Amri ya tangazo la Serikali namba 673

Ndivyo CCM inavyofuta haki za watu nchini, tuikatae!
 
Naomba mwenye kujua kilichofutwa wilaya ya Rombo anijulishe tafadhali!msaada
 
Kuna mamlaka za kishetani kama hii ya Bibi wa Kizimkazi, una maoni gani mh. Chawa.
sina haja kukuita nyumbu kwasabb ya kukurupuka kwako au uelewa na ufahamu mdogo wa masuala hayo...

hata hivyo,
muhimu zaidi ni kutii sheria bila shuruti wala ukaidi wa kuchochewa na wanaharakti uchwara na wanasiasa waliofilisika hoja nchini 🐒
 
Kweli kabisa, laana itawatafuna waliohusika na kupanga hizi njama
 
sina haja kukuita nyumbu kwasabb ya kukurupuka kwako au uelewa na ufahamu mdogo wa masuala hayo...

hata hivyo,
muhimu zaidi ni kutii sheria bila shuruti wala ukaidi wa kuchochewa na wanaharakti uchwara na wanasiasa waliofilisika hoja nchini 🐒
Nami sina sababu ya kukuita chawa kwa kuwa hata ubongo kichwani huna nafuu ya chawa anaganga njaa!
 
👊💪🙏
 
Wajuzi naomba mnielekeze, serikali ikifutwa eneo maana yake ni kuwa haitakiwi kuwa na makazi ya watu??
Eneo linabadilishwa matumizi??
Na wakazi wake wanatafutiwa eneo lingine??
Mfano hivyo vijiji vya Rombo, kasulu nk.. inabidi watu wahame??
 
Nami sina sababu ya kukuita chawa kwa kuwa hata ubongo kichwani huna nafuu ya chawa anaganga njaa!
tuliza mihemko bas na makasiriko,

ni muhimu sheria za nchi zikazingatiwa na kufuatwa bila shuruti 🐒
 
Amri batili hii

Haruhusiwi kufuta chochote...anaruhusiwa tu kubadili mipaka sio kufuta

Waziri kiazi
 
Siku inakuja ambayo haina jina. Ole wao mafisadi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…