Serikali yafuta vijiji na vitongoji vyote vya wamasai wa Ngorongoro kupitia Amri ya tangazo la Serikali namba 673

Serikali yafuta vijiji na vitongoji vyote vya wamasai wa Ngorongoro kupitia Amri ya tangazo la Serikali namba 673

Wanaojua historia watakwambia.....wachaga kwa maelfu walihamishiwa Mkoa wa Morogoro enzi za Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Wengi walikita kambi maeneo ya Turiani, na sasa wamekuwa matajiri wakubwa, hata tajiri wa mabasi ya BM ni mchaga wa Turiani.

#twendeMsomera
Kaka hii chai haina vitafunwa 😂😂
 
Back
Top Bottom