endrizzy
Senior Member
- Oct 19, 2015
- 186
- 137
Jamani naomba kuuliza mi sifaham hili suala kwani serikali inaweza kubatilisha maamuzi ya wanachama wa klabu ya soka?
mfani wanachama wa simba wameamua kubadili mfumo wa uendeshaj wa timu yao kutoka ya wanachama mpaka jampuni na Yanga kukodisha je,serikali wana impact gani katika maamuz hayo ya wanachama maana nimeona magazeti mengi yanasema serikali inapinga uamuz huo...kwani simba na yana ni mali ya nani?
mfani wanachama wa simba wameamua kubadili mfumo wa uendeshaj wa timu yao kutoka ya wanachama mpaka jampuni na Yanga kukodisha je,serikali wana impact gani katika maamuz hayo ya wanachama maana nimeona magazeti mengi yanasema serikali inapinga uamuz huo...kwani simba na yana ni mali ya nani?