Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 3,482
- 4,673
Kwaiyo kurudishwa mahabusu kwamba iwaje,sijaelewa!? Si kawaida mkuu, hata mramba na Daniel Yohna hawakujua kama watakuja kwenda jelaBoni ana mawakili wawili na karudishwa Rumande bila dhamana na wakati kesi anayotuhumiwa nayo ni Bailable kwahiyo usikariri