JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) imetakiwa kukusanya maoni kwa wananchi kuhusu sababu ya mwamko mdogo wa Wananchi katika kuandika wosia.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Mary Makondo amesema wosia siyo uchuro, mtazamo hasi kuhusu suala hilo umesababisha kuibuka migogoro mingi katika jamii ambayo kwa kiasi kikubwa imekuwa ikiathiri kina mama na watoto.
“Kifo kimendikwa kwenye vitabu vya Mwenyezi Mungu, hatutakiwi kuogopa, wosia unasaidia wakati sisi hatupo vile tulivyovitafuta vinaendelea kutumika kwa watu sahihi,” - Mary Makondo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Mary Makondo amesema wosia siyo uchuro, mtazamo hasi kuhusu suala hilo umesababisha kuibuka migogoro mingi katika jamii ambayo kwa kiasi kikubwa imekuwa ikiathiri kina mama na watoto.
“Kifo kimendikwa kwenye vitabu vya Mwenyezi Mungu, hatutakiwi kuogopa, wosia unasaidia wakati sisi hatupo vile tulivyovitafuta vinaendelea kutumika kwa watu sahihi,” - Mary Makondo.