Serikali yakamata Wahamiaji haramu zaidi ya 1000 katika kipindi cha miezi 3

Serikali yakamata Wahamiaji haramu zaidi ya 1000 katika kipindi cha miezi 3

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Serikali imesema katika kipindi cha miezi mitatu imefanikiwa kukamata wahamiaji haramu zaidi ya elfu moja katika maeneo mbalimbali nchini.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi Mh.George Simbachawene amesema hayo bungeni mkoani Dodoma.

Amesema kwa sasa kuna operesheni maalum ambayo imeanza tarehe moja mwezi huu na itafikia tamati tarehe 15 lengo kuu likiwa ni kuwakamata wahamiaji haramu.

Kauli ya Waziri Simbachawene imekuja kufuatia swali lililoulizwa kwa wizara yake kuhusiana na misako ya ukamataji wahamiaji haramu inavyofanywa mkoani Kigoma katika njia ambayo ilionekana kuwa ni onevu.
 
Wanajua mzalendo hayupo, sasa wanamiminika kama maji ya maporomoko ya Bwawa la Kihansi
hata kipindi chake walikuwa wanamiminika.
hili sio tatizo la juzi wala jana.. ni la miaka.
oh eti flani hayupo? mbona kipindi chake walikuwa wanakamatwa ? au wale si wahamiaji haram?
 
hata kipindi chake walikuwa wanamiminika.
hili sio tatizo la juzi wala jana.. ni la miaka.
oh eti flani hayupo? mbona kipindi chake walikuwa wanakamatwa ? au wale si wahamiaji haram?


At least umeafiki wazi kwamba alikuwa mzalendo. Au siyo!??? Kanusha tena na Bi Mkubwa wako ambaye hawezi hata kuhoji mambo ya msingi, anakalia tuuuu kukohoa-kohoa na kusema ^Okaaay^ ^Sawa^ ^Ntakuja tena kuwakaguakagua^ Just as many have suggested, afadhali tufanye reshuffle -- Dkt Mwinyi aje huku barani, halafu huyu akafurahie karafuuu & marashi ya Pemba.
 
At least umeafiki wazi kwamba alikuwa mzalendo. Au siyo!??? Kanusha tena na Bi Mkubwa wako ambaye hawezi hata kuhoji mambo ya msingi, anakalia tuuuu kukohoa-kohoa na kusema ^Okaaay^ ^Sawa^ ^Ntakuja tena kuwakaguakagua^ Just as many have suggested, afadhali tufanye reshuffle -- Dkt Mwinyi aje huku barani, halafu huyu akafurahie karafuuu & marashi ya Pemba.
Kufa ukazikwe naye basi. Maama unateseeeeeka. Magu alikuwa ni shetani kabisa
 
Kufa ukazikwe naye basi. Maama unateseeeeeka. Magu alikuwa ni shetani kabisa


Usihofu kama unatamani KUFA; all you've to do, is do nothing, and death will, shall & must surely come your way. I am praying kikukute ukiwa ^umejiandaa^ 🙂
 
Usihofu kama unatamani KUFA; all you've to do, is do nothing, and death will, shall & must surely come your way. I am praying kikukute ukiwa ^umejiandaa^ 🙂
Kufa kupo ila Namuomba tu Mungu nisiwe muuaji kama Magu wala kufurahia vifo vya wengine na mateso kama wewe.

Pamoja na kufurahia vifo na mateso ya wengine, wewe nawe UTAKUFA tu.
 
Kufa kupo ila Namuomba tu Mungu nisiwe muuaji kama Magu wala kufurahia vifo vya wengine na mateso kama wewe.

Pamoja na kufurahia vifo na mateso ya wengine, wewe nawe UTAKUFA tu.


Ndiyo maana nikasema wewe ni jiniasi wa kupotoa & kupindua mambo kama yule baba yenu wa kuzimu Ibilisi. Kati yangu na wewe, nani kafurahia kifo cha mwingine!??? Au hujui kusoma, unaandikiwa haya usemayo!??? Wewe ni bure ^car-bee-sir!^ And, please know, from today onwards, I totally give up on you. I mean, a useless thing is by far better.
 
Ndiyo maana nikasema wewe ni jiniasi wa kupotoa & kupindua mambo kama yule baba yenu wa kuzimu Ibilisi. Kati yangu na wewe, nani kafurahia kifo cha mwingine!??? Au hujui kusoma, unaandikiwa haya usemayo!??? Wewe ni bure ^car-bee-sir!^ And, please know, from today onwards, I totally give up on you. I mean, a useless thing is by far better.
Una matatizo ya akili.

Typical psychiatric case. Magu the killer is no more.
 
Kufa kupo ila Namuomba tu Mungu nisiwe muuaji kama Magu wala kufurahia vifo vya wengine na mateso kama wewe.

Pamoja na kufurahia vifo na mateso ya wengine, wewe nawe UTAKUFA tu.
Mzimu unakutesa sana...
alimuuwa nani au kwa ufinyu wa fikra zenu na nyie ni bendera fata upepo
 
Back
Top Bottom