Babeli hili jukwaa ni la wenye akili tu, umekurupuka kuandika hapa siyo saizi yako. Nenda Mahusiano na JamiiWewe pumbaf ni msemaji wa Waziri au wataalam wa Wizara ya fedha au ou punguwani mmoja tu usiye na jinsia yoyote ..kama watanzania wajinga Basi wewe ndie mjinga namba one
Ukweli upi haliouelezea Lissu,kuwa Serikali hisiwaguse wazungu Maana madini yote yakwao,tukiwagusa tutashitakiwa MIGA,...Tundu Lissu alieleza ukweli kuhusu suala hili akaishia kuitwa msaliti na kushambuliwa kwa marisasi.
Wewe butron pumbavu Mkubwa hujui kitu wewe. Hizo calculations alizibadili Magufuli baada ya kusoma draft report ya Prof Mruma.Wewe unajua container la 20ft linafananaje kweli!
Yaani na wewe unaamini kabisa kuwa kwe copper concentrate (makinikia) ndani ya 20ft container kuna 0.7kg, seriously!!
Kwaiyo kwa akili yako ndogo unaona dhahabu 7kg ni nyingi ndani container la 20ft🤣🤣🤣.Hii nchi CCM itatawala miaka mingi sana,nchi imejaa watu wa ovyo, kwaiyo unaamini hesabu za mwizi kuliko za wataalaamu wetu.Hivi ata wakina Nyerere,Mandela,Nkrumah et al,wangekuwa wanasikiliza mawaidha ya mzungu kuwa hamuwezi kujitawala tungekuwa hapa tulipo.
Ata kama mnapewa bahasha,ni vyema mkawa mnaficha Upuuzi wenu ukouko!
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa ufafanuzi kuhusu wapi zipo shilingi trilioni 360 zilizopo kwenye mashauri ya madai 1,095.
Waziri Nchemba amesema, kuna jumla ya mashauri 400 katika mabaraza ya rufani za kodi (TRAT) yenye thamani ya shilingi trilioni 4.2 na dola za Marekani milioni 3.04 zinaendelea katika mabaraza hayo.
Hata hivyo Dkt. Nchemba amesema, serikali ilikubali kupokea shilingi bilioni 700 kutoka Barrick baada ya makubaliano baina ya timu ya serikali iliyoundwa na Rais wa serikali ya awamu ya tano Hayati Dkt. John Magufuli kufikia makubaliano ya pande zote na Barrick kuhusiana na madai ya shilingi trilioni 360.
Amesema baada ya makubaliano hayo ndipo ikaundwa kampuni ya Twiga ambayo inamiliki hisa asilimia 16 na Barrick inamiliki asilimia 84 ya kampuni hiyo.
Ufafanuzi huo wa waziri wa Fedha na Mipango unatokana na maswali ya Mbunge wa jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina aliyetaka kufahamu kwa nini serikali imekubali kulipwa shilingi bilioni 700 kutoka kampuni ya Barrick badala ya shilingi trilioni 360 za awali.
View attachment 2365511
Mwendazake anajua alivyokokotoa hiyo hesabuKwa hiyo kampuni ya TWIGA imeundwa kwa trilion 360?
Ndio maana Prof Mruma no jitu la ajabuCha kuchekesha biashara, mtaji na kila kitu uchanganye Barrick na ACACIA hawajahi kufikia $192b.
vipimo nimevitoa kule kwenye kazi yake ya wizi kupitia tozo.nimekatwa kodi alafu nakatwa tena kodi mara ya pili iliyopewa jina la"tozo",hii ni kazi ya huyu mtu.Umetumia vipimo gani jomba...
Hatutaki upumbaf, hili sio jukwaa la kutukana watu....kila mtu anastahili heshima yake..matusi pelekeni majumbani kwenuBabeli hili jukwaa ni la wenye akili tu, umekurupuka kuandika hapa siyo saizi yako. Nenda Mahusiano na Jamii
Mwendazake kaondoka na lkulu, wizara husika, serikali yake na chama chake.Mpina angemuuliza hilo swali Mwendazake na VP aliyekuwa Waziri wa Fedha na Waziri wa Madini na yule kamishna wa TRA aliyeondolewa ndio wanajua kwa nini hawakuzidai hizo pesa badala yake wakachukua bil.700 tuu..
Ukweli upi haliouelezea Lissu,kuwa Serikali hisiwaguse wazungu Maana madini yote yakwao,tukiwagusa tutashitakiwa MIGA,.
Sasa si bora wamepewa hizo biloni 700 pamona na kuundwa kwa mkataba mpya?Wale maprofesa walimwingiza mwendazake cha kike naye akajaa. Eti Trilion 370! Mwisho wa siku wakapewa 700m na kusema ahsante na kufumba mdomo...
Hata bure sivaiNauza t-shirt na tunatuma mikoa yoteView attachment 2365546
Taarifa zinakua wizarani mwigulu ndo anajua anatakiwa kujibu Mana hakuna namna yeye ndo mshika fedha zetuMpina angemuuliza hilo swali Mwendazake na VP aliyekuwa Waziri wa Fedha na Waziri wa Madini na yule kamishna wa TRA aliyeondolewa ndio wanajua kwa nini hawakuzidai hizo pesa badala yake wakachukua bil.700 tuu..