Elimu ya darasani hii hii ya kukaririshana?Labda nikuulize jomba..una takwimu za madini tangu mwaka 1995 ambazo zimeibiwa na kufekishwa. Kwenye makinikia..labda tuanzie hapo. Halaf tuambie umesoma mpaka darasa la ngapi..hapo ndio utajua hujui
Anzeni kwanza kujenga walau makao makuu ndio mje tuongeeBasi msiuwe watu kujiweka madarakani , hamwezi kuongoza nchi ondokeni msimwage damu na kutia watu vilema baadaye mkaifisidi nchi. Ondokeni tujenge nchi
Do your homework...Labda nikuulize jomba..una takwimu za madini tangu mwaka 1995 ambazo zimeibiwa na kufekishwa. Kwenye makinikia..labda tuanzie hapo. Halaf tuambie umesoma mpaka darasa la ngapi..hapo ndio utajua hujui
Mpina angemuuliza hilo swali Mwendazake na VP aliyekuwa Waziri wa Fedha na Waziri wa Madini na yule kamishna wa TRA aliyeondolewa ndio wanajua kwa nini hawakuzidai hizo pesa badala yake wakachukua bil.700 tuu..
WaTanzania tutamwamini vipi huyu Waziri? Ingekuwa enzi ya mwendaZake haya aneliyatamka ?! Hatuna kali zinatakiwa kwa haraka kuokia Taifa hiliWaziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa ufafanuzi kuhusu wapi zipo shilingi trilioni 360 zilizopo kwenye mashauri ya madai 1,095.
Waziri Nchemba amesema, kuna jumla ya mashauri 400 katika mabaraza ya rufani za kodi (TRAT) yenye thamani ya shilingi trilioni 4.2 na dola za Marekani milioni 3.04 zinaendelea katika mabaraza hayo.
Hata hivyo Dkt. Nchemba amesema, serikali ilikubali kupokea shilingi bilioni 700 kutoka Barrick baada ya makubaliano baina ya timu ya serikali iliyoundwa na Rais wa serikali ya awamu ya tano Hayati Dkt. John Magufuli kufikia makubaliano ya pande zote na Barrick kuhusiana na madai ya shilingi trilioni 360.
Amesema baada ya makubaliano hayo ndipo ikaundwa kampuni ya Twiga ambayo inamiliki hisa asilimia 16 na Barrick inamiliki asilimia 84 ya kampuni hiyo.
Ufafanuzi huo wa waziri wa Fedha na Mipango unatokana na maswali ya Mbunge wa jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina aliyetaka kufahamu kwa nini serikali imekubali kulipwa shilingi bilioni 700 kutoka kampuni ya Barrick badala ya shilingi trilioni 360 za awali.
View attachment 2365511
Hahahahahaha ya ya ya ya ya ya ya yaKwamba Ni uongo siyo waziri wa hovyo?
"Ya ya ya ya ya ya ya ya ya ya ya trapu na mataputapu"
Km siyo spika kumuokoa ili akajipange upya angeabika zaidi
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Kitu muhimu sana ni Watanzania have the right to information the basis ya kumsamehe mwizi wetu!.Hata hivyo Dkt. Nchemba amesema, serikali ilikubali kupokea shilingi bilioni 700 kutoka Barrick baada ya makubaliano baina ya timu ya serikali iliyoundwa na Rais wa serikali ya awamu ya tano Hayati Dkt. John Magufuli kufikia makubaliano ya pande zote na Barrick kuhusiana na madai ya shilingi trilioni 360.
Kitu muhimu sana ni Watanzania have the right to information the basis ya kumsamehe mwizi wetu!.
Kama deni hilo ni bonafide genuine, serikali inapoamua kusamehe, it got to give reasons. Na baada ya hapo TRA watoe taarifa kuwa wamelifuta deni hilo.
Haya mambo akina sisi tuliyasema sana humu, kama mwanzo tulizuia makinikia kwasababu tulihisi tunaibiwa kwasababu hatujui kilichomo!.
Tukafanya uchunguzi tutathibitisha ni kweli tumeibiwa!. Tukapiga hesabu tulichoibiwa, baba mtu mbio kaja na ahadi wamekubali kila kitu na ili kuonyeshea nia njema wakahidi kishika uchumba cha Dila milioni 300!.
Mwisho wa mazungumzo tukasamehe deni lote, na kuruhusu makinikia yaondoke huku mpaka leo mpaka kesho, bado hatujui kilichomo!.
Kama tulizuia makinikia kwasababu tunaibiwa kwa kutojua kilichomo, tukathibitisha tunaibiwa!, Tumeruhusuje makinikia bila kujua kilichomo?, kwanini tulizuia?!
More explanation on this is needed.
P
Hizi si zilikuwa kishika uchumba tu??!
Kimsingi kusimama nao mahakamani wangeishia kutushinda.Mimi mtanzania wa kawaida mpaka leo sijaelewa kuwa tuliaminishwa kuwa tunawadai trillion 320 mwisho wa siku tukaambulia billion 700 na 16% .Enzi za mwenda zake ilikuwa haramu kujadili lakini leo hayupo tujulishane ukweli
Unaweza ukawa na makao makuu bado ukawa huna akili na uwezo wakuongoza nchi.Elimu ya darasani hii hii ya kukaririshana?
Anzeni kwanza kujenga walau makao makuu ndio mje tuongee
Ujinga huu🤒Kwanini TV ilizimwa wakati wa swali na majibu? AU hapa tuna uhakika gani kama hujadanganya? Halafu naomba ufafanuzi, bado sijaona zilipo hizo 360
Alichojibu Waziri wa Fedha ndivyo walimalizana.Hizi si zilikuwa kishika uchumba tu??!
Hahahahaaaaa.....Labda mwisho suala la makinikia ilitembea kama ile ' pre bargain' ya DPP' watu wakapata chao.......... Jamani tukubali yaishe.....Kitu muhimu sana ni Watanzania have the right to information the basis ya kumsamehe mwizi wetu!.
Kama deni hilo ni bonafide genuine, serikali inapoamua kusamehe, it got to give reasons. Na baada ya hapo TRA watoe taarifa kuwa wamelifuta deni hilo.
Haya mambo akina sisi tuliyasema sana humu, kama mwanzo tulizuia makinikia kwasababu tulihisi tunaibiwa kwasababu hatujui kilichomo!.
Tukafanya uchunguzi tutathibitisha ni kweli tumeibiwa!. Tukapiga hesabu tulichoibiwa, baba mtu mbio kaja na ahadi wamekubali kila kitu na ili kuonyeshea nia njema wakahidi kishika uchumba cha Dila milioni 300!.
Mwisho wa mazungumzo tukasamehe deni lote, na kuruhusu makinikia yaondoke huku mpaka leo mpaka kesho, bado hatujui kilichomo!.
Kama tulizuia makinikia kwasababu tunaibiwa kwa kutojua kilichomo, tukathibitisha tunaibiwa!, Tumeruhusuje makinikia bila kujua kilichomo?, kwanini tulizuia?!
More explanation on this is needed.
P
Lilikuwa ndiyo lengo hilo?Heri nusu shari kuliko shari kamili. Tumepata hicho kiasi kiduchu lakini kuibwa kwa makinikia kumesitishwa na sisi tumepata asilimia 16 ya kampuni mpya. Hiyo ni nzuri sana.
Marehemu kafariki mwaka janaSasa ndio wamsingizie marehemu
Chuki binafsi tu, hakuna unachoelewa,Watanzania siyo wajinga kama wewe.Magufuli aendelee kuungua moto mkali huko aliko. Hizi takwimu za UWONGO alizopika na Prof Mruma ndizo alizotumia kumjeruhi Tundu Lisu. Magufuli aliwaaminisha watu kuwa tunawadai ACACIA USD 190 billion kutokana na ASUMPTION kuwa container moja la 20ft la MAKINIKIA lina 7Kg za dhajabu wakati ukweli ni kwamba lina 0.7Kg. Akawapa matumaini hewa Watanzania na kwa jinsi WATANANIA wengi walivyo wajinga wakamuona ni shujaa au mkombozi au MZALENDO.
Hizo Tsh 360 Trillion au USD 190 Billion kwa exchange rate ya wakati ule hazipo popote. Ni UJUHA tu kuamini taarifa kama hizo. Magufuli alikuwa anadanganya mpaka Shetani anaogopa
Nasisitiza ni takataka, hana uelewa wowote,trilioni imemkaa kichwani.Rubbish