Serikali yakiri Umeme hautoshi, TANESCO ina upungufu wa Megawati 190

Serikali yakiri Umeme hautoshi, TANESCO ina upungufu wa Megawati 190

B7F0C8E3-7AFC-4401-A955-9A9FDA5D05D1.jpeg
 
Makamba alisema tuna ziada alipokuwa akifanya mahojiano na 360 clouds,huyu naibu Byabato anasema tuna upungufu,nani mkweli,?

"RAIS SAMIA FUMUA TANESCO,HII NI DHIHAKA,LABDA KAMA NA WEWE NI MNUFAIKA WA YANAYOENDELEA NISHATI,"

Makamba umembeba habebeki, kwahiyo ilifumuliwa Tanesco kutuletea hii dhahama?
Prince January Makamba from Msoga Kingdom aliondoa Engineers kwenye Bodi ya TANESCO akaweka rafiki zake Bankers wakina Mafuru, Mchechu et al, funny enough Mama akamuondoa Engineer Tito kuwa Director General akatuwekea yule muuza vifurushi vya DSTV Mheshimiwa Mpakwa mafuta na Mwenyeheri Maharage Chande, nchi ngumu hii Mkuu🤣🤣🤣🤣
 
Prince January Makamba from Msoga Kingdom aliondoa Engineers kwenye Bodi ya TANESCO akaweka rafiki zake Bankers wakina Mafuru,Mchechu et al, funny enough Mama akamuondoa Engineer Tito kuwa Director General akatuwekea yule muuza vifurushi vya DSTV Mheshimiwa Mpakwa mafuta na Mwenyeheri Maharage Chande,nchi ngumu hii Mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yani kamtoa Engineer katuwekea muuza ving'amuzi na madish.
 
Makamba alisema tuna ziada alipokuwa akifanya mahojiano na 360 clouds,huyu naibu Byabato anasema tuna upungufu,nani mkweli,?

"RAIS SAMIA FUMUA TANESCO,HII NI DHIHAKA,LABDA KAMA NA WEWE NI MNUFAIKA WA YANAYOENDELEA NISHATI,"

Makamba umembeba habebeki, kwahiyo ilifumuliwa Tanesco kutuletea hii dhahama?
Installed capacity ina ziada ila generated kwa sasa kuna upungufu..tatal installed capacity vs peak demand,angalia mwisho wa attachment utaona,hicho ndicho aliongea Makamba.

Point ni kwamba in case mvua zikanyesha mabwawa yakajaa maji uwezo ukarudi kule kule ziada ya umeme ipo ila Ukame ukikomaa lazima.upungufu inatokana na kupungua kwa uzalishaji kwenye vyanzo vya umeme wa maji..

Mwisho huo mradi wa gas kinyerezi ukamilke kwa wakati yasije kuwa ni majibu ya ku buy time..

Pia kukatika katika hakitakuja kuisha maana Makamba alishasema Tanesco wanahitaji Til.4 kufanya repair ya systems za umeme na wakapwwa bil.500 ambazo wanaendelea na ukarabati..👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221031-114814.png
    Screenshot_20221031-114814.png
    95.8 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221031-114739.png
    Screenshot_20221031-114739.png
    68.9 KB · Views: 3
Hivi ile kukata umeme sekunde kadhaa halafu wanarudisha huwa wanafanya nini?
Katika miundo mbinu ya usambazaji umeme wa juu (overhead distribution) hutokea changamoto (faults) ambazo zinaweza kusababisha umeme kukatika. Sababu hizo huitwa.

Faults zipo nyingi (sina haja ya kuelezea)

Tabia ya fault inasababisha circuit Breaker (protection device) kujifungua kulingana na settings zilizowekwa. Hii yote ni kuilinda transformer pamoja na vifaa vingine.

Faults zipo ambazo zinang'ang'ania na kuondolewa ni mpaka mtu afike aondoe au arebishe tatizo. Mfano nguzo imeanguka kwenye msongo wa 11 au 33kV, au mti umeangukia waya za umeme kwenye misongo tajwa hapo. Hizi ni mpaka watu wafike watatue tatizo.

Kuna baadhi ya Faults ambazo hazing'ang'anii (transient Faults) au faults za kupita. Mfano tawi la mti limegusa tu na kutoka kutokana na upepo, au ndege kama kunguru kapigwa na kuanguka. Hapo ukirudisha umeme unawaka. Na hapa ndio jibu lako lilipo.

Kwa hiyo umeme unapokatika kuna kitu kinaitwa trial. Ikigoma kuwaka unajua shida hiyo fault ya kwanza ila ikiwaka ujue ni hiyo fault ya pili ambayo ndio inasababisha unaona umeme umekatika ndani ya sekunde kadhaa umeme umerudi.

Naamini umeelewa japo kidogo.
 
Serikali imekiri kuwa na upungufu wa umeme kwa megawati 190 na ndiyo sababu za kukatika au kuwa na mgawo wa mara kwa mara. Kauli hiyo imetolewa leo Novemba 2, 2022 bungeni na Naibu Waziri wa Nishati, Stephen Byabato wakati akitoa maelezo kama alivyotakiwa na Spika wa bunge Dk Tulia Akson.

Dk Tulia alimtaka Naibu Waziri kutoa majibu ya jumla kuhusu kukatika umeme kwani jambo hilo limekuwa kero. Katika swali la msingi Mbunge wa Ndanda (CCM), Cecil Mwambe ametaka kujua mkakati wa Serikali kumaliza kero ya kukatika kwa umeme mara Kwa mara ikiwemo mikoa ya kusini.

"Tatizo tulilonalo ni upungufu katika vyanzo vya kuzalisha umeme, mheshimiwa Spika, kwa sasa tuna upungufu wa megawati 190 katika vyanzo vya kuzalisha umeme nchini," amesema Byabato. Hata hivyo ameliambia Bunge kuwa mwezi ujao mradi wa Kinyelezi One utakamilika na kuingiza megawati 185 ambazo zitapunguza makali ya mgawo wa umeme.

Kingine ni mpango wa Serikali wa kutenga Sh500 bilioni kwa ajili ya kusaidia kwenye ukarabati wa miundombinu. Hata hivyo Spika ameagiza suala la mgawo wa umeme litazame vipaumbele kwa baadhi ya maeneo ambayo yanahitaji umeme kwa shughuli za viwanda na huduma muhimu ikiwemo Afya
Huyu Byabato anapingana na waziri wake Makamba?
 
Hayuna back up supply kucompasate the shortage incase. Ina maana watalaam huko Tanesco hawajui maana ya backup supply kunapotokea breadown.

Umeme ni moja ya critical area, ambalo lazima uwe na mbadala pale mapungufu yanapotokea.
 
Katika miundo mbinu ya usambazaji umeme wa juu (overhead distribution) hutokea changamoto (faults) ambazo zinaweza kusababisha umeme kukatika. Sababu hizo huitwa.
Faults zipo nyingi (sina haja ya kuelezea)
Tabia ya fault inasababisha circuit Breaker (protection device) kujifungua kulingana na settings zilizowekwa. Hii yote ni kuilinda transformer pamoja na vifaa vingine.

Faults zipo ambazo zinang'ang'ania na kuondolewa ni mpaka mtu afike aondoe au arebishe tatizo. Mfano nguzo imeanguka kwenye msongo wa 11 au 33kV, au mti umeangukia waya za umeme kwenye misongo tajwa hapo. Hizi ni mpaka watu wafike watatue tatizo.

Kuna baadhi ya Faults ambazo hazing'ang'anii (transient Faults) au faults za kupita. Mfano tawi la mti limegusa tu na kutoka kutokana na upepo, au ndege kama kunguru kapigwa na kuanguka. Hapo ukirudisha umeme unawaka. Na hapa ndio jibu lako lilipo.

Kwa hiyo umeme unapokatika kuna kitu kinaitwa trial. Ikigoma kuwaka unajua shida hiyo fault ya kwanza ila ikiwaka ujue ni hiyo fault ya pili ambayo ndio inasababisha unaona umeme umekatika ndani ya sekunde kadhaa umeme umerudi.

Naamini umeelewa japo kidogo.
Hapo solution ni kuwapa wazungu tu wenye umeme wao tu,Sie waswahili kusimamia taasisi hatujui,ni kama leo Tigo ilivyosimama vile,tukachukua management ya Ttcl tukawapeleka tigo bado hao tigo itakufa tu
 
Katika miundo mbinu ya usambazaji umeme wa juu (overhead distribution) hutokea changamoto (faults) ambazo zinaweza kusababisha umeme kukatika. Sababu hizo huitwa.
Faults zipo nyingi (sina haja ya kuelezea)
Tabia ya fault inasababisha circuit Breaker (protection device) kujifungua kulingana na settings zilizowekwa. Hii yote ni kuilinda transformer pamoja na vifaa vingine.

Faults zipo ambazo zinang'ang'ania na kuondolewa ni mpaka mtu afike aondoe au arebishe tatizo. Mfano nguzo imeanguka kwenye msongo wa 11 au 33kV, au mti umeangukia waya za umeme kwenye misongo tajwa hapo. Hizi ni mpaka watu wafike watatue tatizo.

Kuna baadhi ya Faults ambazo hazing'ang'anii (transient Faults) au faults za kupita. Mfano tawi la mti limegusa tu na kutoka kutokana na upepo, au ndege kama kunguru kapigwa na kuanguka. Hapo ukirudisha umeme unawaka. Na hapa ndio jibu lako lilipo.

Kwa hiyo umeme unapokatika kuna kitu kinaitwa trial. Ikigoma kuwaka unajua shida hiyo fault ya kwanza ila ikiwaka ujue ni hiyo fault ya pili ambayo ndio inasababisha unaona umeme umekatika ndani ya sekunde kadhaa umeme umerudi.

Naamini umeelewa japo kidogo.
Asante sana, kwa kozi hii nimejitunuku uhandisi wa umeme 👩‍🎓
 
Prince January Makamba from Msoga Kingdom aliondoa Engineers kwenye Bodi ya TANESCO akaweka rafiki zake Bankers wakina Mafuru,Mchechu et al, funny enough Mama akamuondoa Engineer Tito kuwa Director General akatuwekea yule muuza vifurushi vya DSTV Mheshimiwa Mpakwa mafuta na Mwenyeheri Maharage Chande,nchi ngumu hii Mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unajua hii nchi inatakiwa kupinduliwa na jeshi, vinginevyo tutateswa na na wanasiasa
 
Tungeendelea na gas tungeuza ila Mwendazake alikuja na blaa blaa zake za Bwawa la Nyerere matokeo yake ndio hivyo.
Hivi wewe kiumbe dhaifu kila kitu Magufuli kawaachia nchi mbona mnashindwa halafu excuse zenu mnamtupia huyo marehemu,is that one sense in your head?[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]na bado huo mzimu utawatesa sana Ku.....ya mama yako wewe na timu nzima ya Tanesco wanaokutuma
 
Hivi wewe kiumbe dhaifu kila kitu Magufuli kawaachia nchi mbona mnashindwa halafu excuse zenu mnamtupia huyo marehemu,is that one sense in your head?[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]na bado huo mzimu utawatesa sana Ku.....ya mama yako wewe na timu nzima ya Tanesco wanaokutuma
Kwa hiyo mambo aliyoharibu kwa miaka 6 unaweza rekebisha kwa mwaka na nusu? Acha upumbavu basi..

Kwanza Mwendazake angekufa limradi lake lake la Bwawa lingekuwa kwenye preliminary stages Serikali ingelipiga chini Ili ikomae na gas.

Mradi ulishafikia 30% no way utauacha labda waamue kujenga taratibu which is more expensive kwenye riba so lazima uishe.

Hilo limradi ambalo sio sustainable ndio linakula pesa za kuwekeza kwenye gas..Ukame ukija piga Nchi Kwa miaka 2 mfululizo libwawa nalo litakuwa useless licha ya kuwa too expensive.
 
Katika miundo mbinu ya usambazaji umeme wa juu (overhead distribution) hutokea changamoto (faults) ambazo zinaweza kusababisha umeme kukatika. Sababu hizo huitwa.
Faults zipo nyingi (sina haja ya kuelezea)
Tabia ya fault inasababisha circuit Breaker (protection device) kujifungua kulingana na settings zilizowekwa. Hii yote ni kuilinda transformer pamoja na vifaa vingine.

Faults zipo ambazo zinang'ang'ania na kuondolewa ni mpaka mtu afike aondoe au arebishe tatizo. Mfano nguzo imeanguka kwenye msongo wa 11 au 33kV, au mti umeangukia waya za umeme kwenye misongo tajwa hapo. Hizi ni mpaka watu wafike watatue tatizo.

Kuna baadhi ya Faults ambazo hazing'ang'anii (transient Faults) au faults za kupita. Mfano tawi la mti limegusa tu na kutoka kutokana na upepo, au ndege kama kunguru kapigwa na kuanguka. Hapo ukirudisha umeme unawaka. Na hapa ndio jibu lako lilipo.

Kwa hiyo umeme unapokatika kuna kitu kinaitwa trial. Ikigoma kuwaka unajua shida hiyo fault ya kwanza ila ikiwaka ujue ni hiyo fault ya pili ambayo ndio inasababisha unaona umeme umekatika ndani ya sekunde kadhaa umeme umerudi.

Naamini umeelewa japo kidogo.
Dah, Faults zipo Tanzania tu!!!
 
Back
Top Bottom