Serikali yakiri Umeme hautoshi, TANESCO ina upungufu wa Megawati 190

Serikali yakiri Umeme hautoshi, TANESCO ina upungufu wa Megawati 190

Dah, Faults zipo Tanzania tu!!!
Katika miundo mbinu ya usambazaji umeme wa juu (overhead distribution) hutokea changamoto (faults) ambazo zinaweza kusababisha umeme kukatika. Sababu hizo huitwa.

Faults zipo nyingi (sina haja ya kuelezea)

Tabia ya fault inasababisha circuit Breaker (protection device) kujifungua kulingana na settings zilizowekwa. Hii yote ni kuilinda transformer pamoja na vifaa vingine.

Faults zipo ambazo zinang'ang'ania na kuondolewa ni mpaka mtu afike aondoe au arebishe tatizo. Mfano nguzo imeanguka kwenye msongo wa 11 au 33kV, au mti umeangukia waya za umeme kwenye misongo tajwa hapo. Hizi ni mpaka watu wafike watatue tatizo.

Kuna baadhi ya Faults ambazo hazing'ang'anii (transient Faults) au faults za kupita. Mfano tawi la mti limegusa tu na kutoka kutokana na upepo, au ndege kama kunguru kapigwa na kuanguka. Hapo ukirudisha umeme unawaka. Na hapa ndio jibu lako lilipo.

Kwa hiyo umeme unapokatika kuna kitu kinaitwa trial. Ikigoma kuwaka unajua shida hiyo fault ya kwanza ila ikiwaka ujue ni hiyo fault ya pili ambayo ndio inasababisha unaona umeme umekatika ndani ya sekunde kadhaa umeme umerudi.

Naamini umeelewa japo kidogo.
Dah, Faults zipo Tanzania tu!!!
Bila shida hii ni kubwa kwenye Nchi zetu hizi ambazo miundombinu ya umeme ni duni Sana..

Mwisho tukupe wewe Wizara tuone kama umeme utakoma kukatikakatika?
 
Makamba alisema tuna ziada alipokuwa akifanya mahojiano na 360 Clouds, huyu naibu Byabato anasema tuna upungufu, nani mkweli?

"RAIS SAMIA FUMUA TANESCO,HII NI DHIHAKA, LABDA KAMA NA WEWE NI MNUFAIKA WA YANAYOENDELEA NISHATI,"

Makamba umembeba habebeki, kwahiyo ilifumuliwa Tanesco kutuletea hii dhahama?
.
Ruvu hamna maji so hata mabwawa ya umeme hayana maji, it's common sense. Dependancy kubwa iko kwa songas, umeme wa gas.
.
Tatizo ni kwamba mr. kipara magreda alikuwa hataki kuwatangazia wananchi.
 
Hayuna back up supply kucompasate the shortage incase. Ina maana watalaam huko Tanesco hawajui maana ya backup supply kunapotokea breadown.

Umeme ni moja ya critical area, ambalo lazima uwe na mbadala pale mapungufu yanapotokea.
.
Mkuu, tangu lini muafilika akawaza mbali zaidi ya pua yake??
 
Hapo solution ni kuwapa wazungu tu wenye umeme wao tu,Sie waswahili kusimamia taasisi hatujui,ni kama leo Tigo ilivyosimama vile,tukachukua management ya Ttcl tukawapeleka tigo bado hao tigo itakufa tu
.
Uko sahii mkuu, sirikali haiwezi kuendesha mashirika makubwa kwa ufanisi kama sekta binafsi.
.
Leo 2 November 2022, natoa utabiri, nasema hivi, hata hilo bwawa la Julius Nyerere likikamilika, bado tutaingia gizani tu kwa sababu ya usimamizi mbovu...Tupo hapa.
 
Makamba alisema tuna ziada alipokuwa akifanya mahojiano na 360 Clouds, huyu naibu Byabato anasema tuna upungufu, nani mkweli?

"RAIS SAMIA FUMUA TANESCO,HII NI DHIHAKA, LABDA KAMA NA WEWE NI MNUFAIKA WA YANAYOENDELEA NISHATI,"

Makamba umembeba habebeki, kwahiyo ilifumuliwa Tanesco kutuletea hii dhahama?
Wamesema waTanzania kuuza umeme nje ya nchi! What a joke!!!?
 
Bila shida hii ni kubwa kwenye Nchi zetu hizi ambazo miundombinu ya umeme ni duni Sana..

Mwisho tukupe wewe Wizara tuone kama umeme utakoma kukatikakatika?
Mkuu hayo majibu ni ya kukata tamaa. Usikate tamaa bado solution zipo nyingi tu kwenye suala hili.
 
Kwa hiyo mambo aliyoharibu kwa miaka 6 unaweza rekebisha kwa mwaka na nusu? Acha upumbavu basi..

Kwanza Mwendazake angekufa limradi lake lake la Bwawa lingekuwa kwenye preliminary stages Serikali ingelipiga chini Ili ikomae na gas.

Mradi ulishafikia 30% no way utauacha labda waamue kujenga taratibu which is more expensive kwenye riba so lazima uishe.

Hilo limradi ambalo sio sustainable ndio linakula pesa za kuwekeza kwenye gas..Ukame ukija piga Nchi Kwa miaka 2 mfululizo libwawa nalo litakuwa useless licha ya kuwa too expensive.
Wewe ni mpumbavu
 
Mdomo huu utaniponza bureeee, yaani saa hii ni saa saba na robo usiku marope anatukatia umeme kariakoo? Na joto hili?
Huyu jamaa hafai hata kuwa tarishi acha ubunge na uwaziri, washambaa mnafeli wapi?
 
Kama serikali ya CCM ndio itaendelea kuwa mwekezaji, mmiliki na msimamizi wa sekta ya umeme hakuna kitakachobadilika na hali itaendelea kuwa mbaya kwa miaka mingi ijayo, solution binafsisha 100% sekta yote ya umeme na serikali icheze kama referee, serikali iwe strong regulator kwa wawekezaji wote focus iwe umeme wa kumwaga na bei rahisi nchi nzima, investors watakuja tuu kuna gas ya kuwasha generators zao na wateja zaidi ya milioni 60 thats all they need, watumie pesa kusaidia wasiojiweza kuunganishiwa umeme na usambazaji vijijini
 
Kama serikali ya CCM ndio itaendelea kuwa mwekezaji, mmiliki na msimamizi wa sekta ya umeme hakuna kitakachobadilika na hali itaendelea kuwa mbaya kwa miaka mingi ijayo, solution binafsisha 100% sekta yote ya umeme na serikali icheze kama referee, serikali iwe strong regulator kwa wawekezaji wote focus iwe umeme wa kumwaga na bei rahisi nchi nzima, investors watakuja tuu kuna gas ya kuwasha generators zao na wateja zaidi ya milioni 60 thats all they need, watumie pesa kusaidia wasiojiweza kuunganishiwa umeme na usambazaji vijijini
Ikibinafsishwa hali ndio itakua mbaya zaidi, amini Hilo na ukumbuke kipindi wamepewa net group solutions.

Mashirika mengi hufa baada ya kubinafsishwa, jiulize kwa nn
 
Mdomo huu utaniponza bureeee, yaani saa hii ni saa saba na robo usiku marope anatukatia umeme kariakoo? Na joto hili?
Huyu jamaa hafai hata kuwa tarishi acha ubunge na uwaziri, washambaa mnafeli wapi?
"Mtanikumbuka"!!
 
Back
Top Bottom