Serikali yakiri Umeme hautoshi, TANESCO ina upungufu wa Megawati 190

Dah, Faults zipo Tanzania tu!!!
Bila shida hii ni kubwa kwenye Nchi zetu hizi ambazo miundombinu ya umeme ni duni Sana..

Mwisho tukupe wewe Wizara tuone kama umeme utakoma kukatikakatika?
 
.
Ruvu hamna maji so hata mabwawa ya umeme hayana maji, it's common sense. Dependancy kubwa iko kwa songas, umeme wa gas.
.
Tatizo ni kwamba mr. kipara magreda alikuwa hataki kuwatangazia wananchi.
 
Hayuna back up supply kucompasate the shortage incase. Ina maana watalaam huko Tanesco hawajui maana ya backup supply kunapotokea breadown.

Umeme ni moja ya critical area, ambalo lazima uwe na mbadala pale mapungufu yanapotokea.
.
Mkuu, tangu lini muafilika akawaza mbali zaidi ya pua yake??
 
Hapo solution ni kuwapa wazungu tu wenye umeme wao tu,Sie waswahili kusimamia taasisi hatujui,ni kama leo Tigo ilivyosimama vile,tukachukua management ya Ttcl tukawapeleka tigo bado hao tigo itakufa tu
.
Uko sahii mkuu, sirikali haiwezi kuendesha mashirika makubwa kwa ufanisi kama sekta binafsi.
.
Leo 2 November 2022, natoa utabiri, nasema hivi, hata hilo bwawa la Julius Nyerere likikamilika, bado tutaingia gizani tu kwa sababu ya usimamizi mbovu...Tupo hapa.
 
Wamesema waTanzania kuuza umeme nje ya nchi! What a joke!!!?
 
Bila shida hii ni kubwa kwenye Nchi zetu hizi ambazo miundombinu ya umeme ni duni Sana..

Mwisho tukupe wewe Wizara tuone kama umeme utakoma kukatikakatika?
Mkuu hayo majibu ni ya kukata tamaa. Usikate tamaa bado solution zipo nyingi tu kwenye suala hili.
 
Wewe ni mpumbavu
 
Mdomo huu utaniponza bureeee, yaani saa hii ni saa saba na robo usiku marope anatukatia umeme kariakoo? Na joto hili?
Huyu jamaa hafai hata kuwa tarishi acha ubunge na uwaziri, washambaa mnafeli wapi?
 
Kama serikali ya CCM ndio itaendelea kuwa mwekezaji, mmiliki na msimamizi wa sekta ya umeme hakuna kitakachobadilika na hali itaendelea kuwa mbaya kwa miaka mingi ijayo, solution binafsisha 100% sekta yote ya umeme na serikali icheze kama referee, serikali iwe strong regulator kwa wawekezaji wote focus iwe umeme wa kumwaga na bei rahisi nchi nzima, investors watakuja tuu kuna gas ya kuwasha generators zao na wateja zaidi ya milioni 60 thats all they need, watumie pesa kusaidia wasiojiweza kuunganishiwa umeme na usambazaji vijijini
 
Ikibinafsishwa hali ndio itakua mbaya zaidi, amini Hilo na ukumbuke kipindi wamepewa net group solutions.

Mashirika mengi hufa baada ya kubinafsishwa, jiulize kwa nn
 
Mdomo huu utaniponza bureeee, yaani saa hii ni saa saba na robo usiku marope anatukatia umeme kariakoo? Na joto hili?
Huyu jamaa hafai hata kuwa tarishi acha ubunge na uwaziri, washambaa mnafeli wapi?
"Mtanikumbuka"!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…