Mzee Saliboko
JF-Expert Member
- Jan 29, 2018
- 1,311
- 1,018
nakuunga mkonoHaya yote ni matokeo ya kujaza wanawake kwenye uongozi wanashikwa vichwa wanapelekeshwa na hao waarabu. Sijui wanawapiga miti. Ufala mtupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nakuunga mkonoHaya yote ni matokeo ya kujaza wanawake kwenye uongozi wanashikwa vichwa wanapelekeshwa na hao waarabu. Sijui wanawapiga miti. Ufala mtupu
Ni kweli kabisaHao si ndio walianza kuishitaki serikali kwa hizo balozi na taasisi kwa barua na Hashtag?
Hawajui ndio sababu wanaelimishwaHoja dhaifu sana,wao wanajua hao mabalozi hawajui uhalisia wa mambo ulivyo...
mama yako ni ng'ombe ? au humjui au hunae ,wacha kutukana waliobeba mimba yako ni aibu kubwa sana.Umeonyesha dharau kubwa mno ,na moderato wanakuchekea.Haya yote ni matokeo ya kujaza wanawake kwenye uongozi wanashikwa vichwa wanapelekeshwa na hao waarabu. Sijui wanawapiga miti. Ufala mtupu
Hoja potofu, Mabalozi hao wana barua na vielelezo toka kwa Tundu Lissu, Maria, Ngurumo, Asasi za Haki za binadamu, Wanaharakati wa Kenya na Tanzania, kutaja baadhi tu. Mlitaka Serikali ikae kimya isitolee majibu madai yao?Hoja dhaifu sana,wao wanajua hao mabalozi hawajui uhalisia wa mambo ulivyo...
Sheria ipi,ya ccm eti!Ardhi ni ya Mungu pekeee aliyeiumba na akawapa wanadamu waitunze na siyo Rais wa nchi yoyote ile kuitumia ardhi kwa mapenzi ya kichwa chake na familia yake.Sioni mantiki ya hizi kelele, ni upunguani mtupu.
Hao wamasai wameoteshwa hapo kwamba waking'olewa hawatastawi sehemu nyingine?
Wawe wanaondolewa kwa madhumuni ya uhifadhi au uwekezaji yote ni sawa. Wao ni raia wa kwanza kuhamisha kupisha uwekezaji?
Tena wamepata upendeleo na nyumba wanajengewa halafu bado kuna mbwa wanabweka ati wanaonewa.
Halafu baada ya kufikiri kisiasa na kiuanaharakati utambue bottom line Rais ndiye mwenye ardhi kwa mujibu wa sheria. Anafanya uamuzi juu ya matumizi ya ardhi kwa maslahi mapana ya nchi sio kwa kuangalia maslahi ya Watu fulani tu.
Rushwa ni Adui wa Haki.Haya yote ni matokeo ya kujaza wanawake kwenye uongozi wanashikwa vichwa wanapelekeshwa na hao waarabu. Sijui wanawapiga miti. Ufala mtupu
Wewe huna akili kabisaa na kama unazo ni madawa ya kulevya na bangi zimetawala kichwa chako.Tusidanganyane na Tukadanganyika,historia inaonyesha Tanganyika haikuwa na ntu hata mmoja ni pori kubwa na misitu minene hadi pwani ,ambako athari za kuishi kwa Simba na Tembo ufukweni bado zingalipo katika bahari ya Saadani.
Wamasai asili yao inasemekana ni kutokea Ethiopia,na waliobakia wanatokea katika misitu ya Congo ,vijana someni historia kutoka kwenye mitandao ,haya mafundisho karudi baba mmoja toka safari ya mbali yeshapitwa na wakati,vitabu vingi vipo mitandaoni.
Ngorongoro ni National Park ,watu kuachwa kukaa ndani ni upole wa serikali tu,lakini tusidanganyane kule juu ndani ya ngorongoro kwa anaekujua kulikuwa hakuishi binadamu,ingawa wengi wanasema ile ndio Bustani ya Aden ,kama mlikuwa hilo nalo hamlijui ndipo ambapo Eva aliwekwa na kasehemu hako kutoka peponi ,na ndipo alipokutwa na Adam na kama mnajua historia ya binadamu wa mwanzo olduvai mafuvu .
Kwa sasa bora mrusi au mwarabu, wazungu mwisho hukugeuka na kukufanya adui huo ndio ukweli unaotandaa duniani.
Uwekezaji wenye manufaa kwa kikundi fulani cha wachache kwa kutumia rasilimali za taifa ni uhuni, unafaa kulaaniwa.Sioni mantiki ya hizi kelele, ni upunguani mtupu.
Hao wamasai wameoteshwa hapo kwamba waking'olewa hawatastawi sehemu nyingine?
Wawe wanaondolewa kwa madhumuni ya uhifadhi au uwekezaji yote ni sawa. Wao ni raia wa kwanza kuhamisha kupisha uwekezaji?
Tena wamepata upendeleo na nyumba wanajengewa halafu bado kuna mbwa wanabweka ati wanaonewa.
Halafu baada ya kufikiri kisiasa na kiuanaharakati utambue bottom line Rais ndiye mwenye ardhi kwa mujibu wa sheria. Anafanya uamuzi juu ya matumizi ya ardhi kwa maslahi mapana ya nchi sio kwa kuangalia maslahi ya Watu fulani tu.
Vipindi vingine muwe mnatumia akili,hivyo hao wamama walibeba mimba kutoka mbinguni au mimba wanazipata kutoka kwa wanaume tena vipindi vingine bila hata kupenda ila mtoto akikua anasifiwa mama tu huo ni upumbavu,Acheni Mungu aitwe Mungu aliyempa mwanaume ya kutawala na kuineemesha dunia.mama yako ni ng'ombe ? au humjui au hunae ,wacha kutukana waliobeba mimba yako ni aibu kubwa sana.Umeonyesha dharau kubwa mno ,na moderato wanakuchekea.
Ndiyo - maana hatukuwa tunapata faida na mifugo ya jirani!Kwahiyo wameona bora wamuuzie mwarabu
Hapo wanaenda kujitia aibu tu. Mabeberu wameshafanya uchunguzi wao wana data kamili hawahitaji kusimuliwa ndoto za alinachaSerikali ya JMT leo imekutana na Mabalozi na wakuu wa Taasisi za kimataifa kuwafafanulia kinachoendelea Ngorongoro
Serikali ikiongozwa na Waziri Mulamula, waziri Ndumbaro na Naibu waziri Masanja
Masanja amesema mifugo ya nchi Jirani ndio Ilikuwa inaletwa Ngorongoro kwa ajili ya kunenepeshwa kisha kurudishwa nchini kwao kwa ajili ya mauzo na Tanzania haikuwa ikifaidika kwa chochote
Chanzo: ITV habari
Nafuatilia hili sakata ndani ya bunge na kuona jinsi wabunge wanavyolidadavua sakata hili...
Hebu nitajie hayo maslahi ya nchi na nani wanufaika ?Ardhi ni mali ya serikali, wananchi wanapanga tuu, na mdhamini wake ni Rais!...
Siku ukiondolewa kwenu usije kujiliza hapaArdhi ni mali ya serikali, wananchi wanapanga tuu, na mdhamini wake ni Rais!...
Nasubiri jibu na mimi!Hebu nitajie hayo maslahi ya nchi na nani wanufaika ?