Melubo Letema
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 416
- 414
Wazi ZuriSerikali imefanya jambo jema kujihusisha na mapokezi yake kwakua ina mtia moyo mchezaji.
sasa wampatie ata fedha au zawadi yoyote ili kumpa motisha.
Ata feni au saa ya ukutani tu itakua ni zawadi ndogo ila ita mtia moyo.
Unafiki wa kiwsngo cha kami.View attachment 2763734
View attachment 2763735
Mapokezi Makubwa ya Mwanariadha wa Kimataifa wa Tanzania, Magdalena Chrispin Shauri (alie vaa bendera ya ๐น๐ฟ) Jijini Arusha, katika ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Arusha, na Kupokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongela , Charles Maguzu kutoka BMT na Kiongozi wake Jeshini (JWTZ) Arusha.
mara baada ya Ushindi wa mbio za kilomita 42 (42.195KM) na kushinda Medali ya SHABA katika Mashindano ya Berlin Marathon yaliyofanyika nchini Ujerumani tarehe 24:09:2023 na Kuweka ya Rekodi ya Taifa (NR) kwa muda wa 2:18:41 na kuvunja rekodi ya marathon kwa Wanawake Tanzania ya 2:24:59 ya Mwanariadha (Banuelia Mrashani ) toka 2002.
Nakuunga Mkono Asilimia Mia Moja. Maandalizi yajayo ya Olympic na maandalizi ya Qualifications za Olympic, fungu zinatolewa na International Olympic Committee (IOC) ila Filbert Bayi na Henry Tandau, wanakula.Halafu serikali iwasaidie wanariadha nchini kumuondoa yule Filbert Bayi na genge lake TOC. Maana kwa sasa hiyo TOC ameigeuza kuwa mali yake. Ziingie damu mpya ili kuleta mapinduzi kwenye michezo ya riadha, nk.
๐๐๐ ndo Mpango wa Taifa kwa Sasaโฆ! RC amesemaUnafiki wa kiwsngo cha kami.
Je ilihusika na maandalizi yake au ndo inataka kupoka credits