Serikali yamrejeshea Pascal Mayalla Press card yake iliyozuiliwa kwa takriban miaka 3 ataanza kuonekana Saba Saba!

Serikali yamrejeshea Pascal Mayalla Press card yake iliyozuiliwa kwa takriban miaka 3 ataanza kuonekana Saba Saba!

Ashukuru abas amekuwa katibu Mkuu ilikuwa rahisi kucompromise
Hongera
Natumaini ubunge utasubiri 2025
 
Hataacha Mkuu anajua TEUZI kubwa iko njiani

😎
2440973_EU7wuNqWoAItW39.jpg



Kumbe ndo maana alikuwa anajitahidi sana kulamba soli za viatu vya wakulu, ..duuh [emoji23][emoji23]
 
Wakuu taratibu. Tuelimishane kdogo.
Hiyo Press card ndonn?
Jamaa alifanya nn hadi kunyang'anywa?
Je ilinyang'anywa kimyakimya au alimwambiwa akaikabiz maana wengne ndo kwanza tunaskia hapa.
 
Mgombea uraisi huandaliwa na CC kisha hupitishwa na mikutano mkuu wa Halmashauri kuu ya Taifa.

Baada ya hapo ni kunadi sera na ilani ya CCM.

Sasa unadai tume huru tuambie hapa ni nchi gani hapa duniani huendesha uchaguzi unaosimamiwa na tume huru ya uchaguzi?

Kwa mfano hata Marekani tume ya uchaguzi inawajibika kwa bunge la senate na bunge hilo lina uwezo wa kupinga matokeo yalotangazwa na tume hiyo.

Uingereza nako tume yao ya uchaguzi inawajibika kwa spika wa bunge na kamati yake inayoundwa na wabunge kutoka vyama mbalimbali.

Haya ni mataifa makubwa duniani na huwa kuna wakati yanakumbana na utata kwenye chaguzi zake za uraisi.

Kama wakumbuka uzuri matokeo ya Al Gore dhidi ya George Bush junior ambapo kura zilirudiwa kuhesabiwa kwenye jimbo la florida na Bush akashinda.

Uingereza mwaka 2010 kuna wananchi wapiga kura walizuiwa kwenye baadhi ya vituo kuendelea kupiga kura ambayo kama ingekuwa hivyo basi, David Cameron asingeshinda kwa urahisi dhidi ya chama cha Labour.

Na mwaka 2015 kuliitishwa azimio la kutaka tume hiyo (huru) ya Uingereza ifanyiwe reform kwa madai kwamba inapendelea upande mmoja kwenye maamuzi ya uchaguzi.

Sasa ukiangalia utaona kwamba hakuna tume iliyo huru kabisa na ambayo inaundwa na watu ambao hawako kwenye payroll ya serikali.

Sasa wewe wataka tume huru ya aina gani?
Mbona umeeleza vizuri namna uhuru unavyopatikana.

Tatizo sio kuwa kwenye payrol za serikali.

Hata hapa kwetu yangekuwa yanafanyika hayo usingeona lawama.
 
Kumbukumbu zipo mkuu, ila anatakiwa atujibu sababu ni nini maana amenilike tu akacheka akanyamaza.
Pascal tupe jibu;
1.Lini hasa ulipigwa pin?
2.Sababu uliambiwa ni nini?
Duh..!
Hahahahahahahaha.......
 
Mwandishi wa habari nguli nchini Pascal Mayalla ameishukuru serikali na hususani msemaji wa serikali Dr Abbas kwa kumrejeshea Press card ambayo ilizuiliwa kwa takribani miaka mitatu.

Pascal Mayalla amesema kuanzia wiki ijayo ataanza kuonekana live kwenye maonesho ya Saba saba na soon ataanza kurusha vipindi vya kuhamasisha uzalendo nchini.

Source: Jicho Letu ndani ya habari Star TV!
NA MIMI NILIJUA KUNA KITU 'NJAA' ANAKITAFUTA. KUJIKOMBA KULE SI KWA NCHI HII
 
Pascal ahamua kumwaga like, ambaye hajapewa like kwenye comment yake ndani ya mada hii jiulize 😃!.
 
Back
Top Bottom