Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ndo maana alikuwa anajitahidi sana kulamba soli za viatu vya wakulu, ..duuh [emoji23][emoji23]
Ha ha ha! Hata Mimi sasa nimemuelewa!!!!Pascal alikuwa anakosa hizi dili za sabasaba ndio maana mapambio yalikuwa mengi.
Mbona umeeleza vizuri namna uhuru unavyopatikana.Mgombea uraisi huandaliwa na CC kisha hupitishwa na mikutano mkuu wa Halmashauri kuu ya Taifa.
Baada ya hapo ni kunadi sera na ilani ya CCM.
Sasa unadai tume huru tuambie hapa ni nchi gani hapa duniani huendesha uchaguzi unaosimamiwa na tume huru ya uchaguzi?
Kwa mfano hata Marekani tume ya uchaguzi inawajibika kwa bunge la senate na bunge hilo lina uwezo wa kupinga matokeo yalotangazwa na tume hiyo.
Uingereza nako tume yao ya uchaguzi inawajibika kwa spika wa bunge na kamati yake inayoundwa na wabunge kutoka vyama mbalimbali.
Haya ni mataifa makubwa duniani na huwa kuna wakati yanakumbana na utata kwenye chaguzi zake za uraisi.
Kama wakumbuka uzuri matokeo ya Al Gore dhidi ya George Bush junior ambapo kura zilirudiwa kuhesabiwa kwenye jimbo la florida na Bush akashinda.
Uingereza mwaka 2010 kuna wananchi wapiga kura walizuiwa kwenye baadhi ya vituo kuendelea kupiga kura ambayo kama ingekuwa hivyo basi, David Cameron asingeshinda kwa urahisi dhidi ya chama cha Labour.
Na mwaka 2015 kuliitishwa azimio la kutaka tume hiyo (huru) ya Uingereza ifanyiwe reform kwa madai kwamba inapendelea upande mmoja kwenye maamuzi ya uchaguzi.
Sasa ukiangalia utaona kwamba hakuna tume iliyo huru kabisa na ambayo inaundwa na watu ambao hawako kwenye payroll ya serikali.
Sasa wewe wataka tume huru ya aina gani?
Kitambulisho cha mwandishi wa habari kinachompa ruhusa kwenda, kufanya na kuingia kwenye shuguli zinazohusu jamii, kihabari zaidi. (Government Identity Card)Wakuu taratibu. Tuelimishane kdogo.
Hiyo Press card ndonn?
Taahira tu weweBichwa maji we! Nenda kamsaidie mchaga mwenzio Mbowe kunywa faru john
Poti unaitwa.Kumbe ndo maana alikuwa anajitahidi sana kulamba soli za viatu vya wakulu, ..duuh [emoji23][emoji23]
Hivi unajua Paschal ni mzee kuliko Dr.Abbas???Pascal Mayala anafaa kuwa Msemaji wa Serikali akichukua nafasi ya Dr Abbas ambaye ni Katibu Mkuu kwa sasa. Na mtu wa kumpika afikie viwango ni Dr Abbas.
Duh..!Kumbukumbu zipo mkuu, ila anatakiwa atujibu sababu ni nini maana amenilike tu akacheka akanyamaza.
Pascal tupe jibu;
1.Lini hasa ulipigwa pin?
2.Sababu uliambiwa ni nini?
NA MIMI NILIJUA KUNA KITU 'NJAA' ANAKITAFUTA. KUJIKOMBA KULE SI KWA NCHI HIIMwandishi wa habari nguli nchini Pascal Mayalla ameishukuru serikali na hususani msemaji wa serikali Dr Abbas kwa kumrejeshea Press card ambayo ilizuiliwa kwa takribani miaka mitatu.
Pascal Mayalla amesema kuanzia wiki ijayo ataanza kuonekana live kwenye maonesho ya Saba saba na soon ataanza kurusha vipindi vya kuhamasisha uzalendo nchini.
Source: Jicho Letu ndani ya habari Star TV!
Bia yetu na Magonjwa mtambukaTangu Pascal Mayalla aanze kupandisha nyuzi zinazofanana na nyuzi za Bia yetu nilijua tu njaa imemkabili