Serikali yamrejeshea Pascal Mayalla Press card yake iliyozuiliwa kwa takriban miaka 3 ataanza kuonekana Saba Saba!

Serikali yamrejeshea Pascal Mayalla Press card yake iliyozuiliwa kwa takriban miaka 3 ataanza kuonekana Saba Saba!

sasa nimeelewa kwa nini kusifu na kuabudu kumekuwa kwingi these last couple of years.

ambao tumekuwa tukimnanga Pascal Mayalla kwa kujipendekeza tulipaswa tujue kwanza predicament yake halafu tumsaidie (just like tulivyowachangia viongozi wa Chadema kulipa faini over 300M tusingeweza kushindwa kumuwezesha Pascal ili afanye investment kwenye eneo jingine kwa ajili ya kujikimu huku akiendelea kupigania kurudishiwa press card yake).

tungekuwa tumefanya hivyo, sidhani kama mada za Pascal humu jukwaani zingekuwa na sura ya kusifu na kuabudu kama afanyavyo sasa. sasa mlitaka baba wa watu aue watoto kwa njaa?

funzo: tusiwe wepesi wa kutoa hukumu kwa wengine kabla ya kutafuta ukweli kwanza.

mkuu Pascal Mayalla, mimi mwalimu M-Mbabe naomba uniwie radhi kwani kuna kauli za kitesi nilizitoa dhidi yako from time to time.
Uko sahihi kabisa
 
Unaweza kuangalia historia yangu JF tangu ilipoanza. Sina sababu ya kusifu bila kujirizisha, nimekuwepo awamu zote Japo awamu ya kwanza nilikuwa nasoma. Serikali hii hasa awamu ya 5 inatekeleza yale ambayo ndiyo yalikuwa madonda ndugu wakati hii JF inaanza. Kwa maoni yangu JF ilishanunuliwa na mafisadi ambao wanafikiria sisi hatuoni unaweza kuona mwenyewe.

BTW you are not one of those who were around when JF started, kama kumbukumbu zangu zipo sahihi..

Maisha ya watu yamekuwa magumu kupita kiasi lakini MATAGA kwa sababu akili yako imenajithiwa na buku 7 hutajifanya hulioni hilo.
 
Tena sasa hivi wanaizingira kabisa Congo DRC ili kuhakikisha Cobalt yakusanywa yoote kwa ajili ya magari ya kutumia battery.

Ndo maana nchi nyingi za Ulaya na Marekani zinaondokana na magari ya diseli na petrol miaka mitano ijayo.

Raisi wa Congo hatakuwa na neno kwenye hilo maana akisema watamPatrice Lumumba.

Inafahamika lengo lao la kumtayarisha Tundu Lisu huko Belgium kwa makusudio yaleyale ya kuweka madini na rasilimali za Tanzania dhidi ya agenda zao za kudidimiza uchumi wa nchi za Afrika.

Richard ninajua kuwa ww ni mjinga, ila sikujua kuwa ni mjinga kiasi hiki! Wazungu wamuandae Tundu Lisu kwa ajili ya madini yaliyopo hapa nchini. Kwani mpaka sasa wanaochimba hayo madini ni wazaramo? Hawa wazungu waliopo sasa hivi ni tofauti na wazungu huko Lisu alipo? Ni madini gani ambayo yako hapa nchini wazungu wameyataka wakayakosa, ila Lisu akiwa rais ndio watayapata? Je hayo madini yaliyopo hapa nchini hayapo pengine Afrika, bali yako tu hapa Tanzania? Hivi hizi propaganda za kizee bado mnawalisha vijana wa kizazi hiki, na mtegemee kuwahadaa?
 
Mwandishi wa habari nguli nchini Pascal Mayalla ameishukuru serikali na hususani msemaji wa serikali Dr Abbas kwa kumrejeshea Press card ambayo ilizuiliwa kwa takribani miaka mitatu.

Pascal Mayalla amesema kuanzia wiki ijayo ataanza kuonekana live kwenye maonesho ya Saba saba na soon ataanza kurusha vipindi vya kuhamasisha uzalendo nchini.

Source: Jicho Letu ndani ya habari Star TV!

Demokrasia bado kwanini walichukuwa??
P, inabidi mtetee sana vyombo nasikia TZ Daima imefugwa na waandishi wananyamaza Tu! !
 
Mwandishi wa habari nguli nchini Pascal Mayalla ameishukuru serikali na hususani msemaji wa serikali Dr Abbas kwa kumrejeshea Press card ambayo ilizuiliwa kwa takribani miaka mitatu.

Pascal Mayalla amesema kuanzia wiki ijayo ataanza kuonekana live kwenye maonesho ya Saba saba na soon ataanza kurusha vipindi vya kuhamasisha uzalendo nchini.

Source: Jicho Letu ndani ya habari Star TV!
Matunda ya kujiunga na wamsifiao na kumwabudu mr jiwe
 
Usikute bado unaishi kwa wazazi wako ambao wanaishi kwa hisani na ukamilifu wa Dkt Magufuli, then unasema na wao wanalamba soli za viatu. Mijitu kama wewe ndiyo ilipaswa isizaliwe Tz.
alaumiwe baba kutokuvaa kondom ile siku
 
Back
Top Bottom