Freddie Matuja
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 1,479
- 2,877
Wale washabiki wa TL wanatakiwa kujua "there is no free lunch in town"
In most cases wazungu huwa wanajenga mifumo ya kuandaa papets ili watimize malengo yao.
Mtu kama Nyerere will never be celebrated kwenye kumbukumbu za wazungu ili wengine wasijifunze na kumfanya role model.
Ila Mandela wanamkuza kwa kuwa alilubali kusaini uhuru wake pasi kugusa maslahi ya wazungu ya kiuchumi/kibiashara.
Then akapewa Nobel Peace Prize.
Until we African we wake up and write our own history, build our own economic system, develop our own education systems that solves local problems or utilizes assets available to build our economies,
make/groom our own LEADERS (thru elections and appointments); tutaona faida ya endowment of wealth in motherland Afrika.
In most cases wazungu huwa wanajenga mifumo ya kuandaa papets ili watimize malengo yao.
Mtu kama Nyerere will never be celebrated kwenye kumbukumbu za wazungu ili wengine wasijifunze na kumfanya role model.
Ila Mandela wanamkuza kwa kuwa alilubali kusaini uhuru wake pasi kugusa maslahi ya wazungu ya kiuchumi/kibiashara.
Then akapewa Nobel Peace Prize.
Until we African we wake up and write our own history, build our own economic system, develop our own education systems that solves local problems or utilizes assets available to build our economies,
make/groom our own LEADERS (thru elections and appointments); tutaona faida ya endowment of wealth in motherland Afrika.
Tena sasa hivi wanaizingira kabisa Congo DRC ili kuhakikisha Cobalt yakusanywa yoote kwa ajili ya magari ya kutumia battery.
Ndo maana nchi nyingi za Ulaya na Marekani zinaondokana na magari ya diseli na petrol miaka mitano ijayo.
Raisi wa Congo hatakuwa na neno kwenye hilo maana akisema watamPatrice Lumumba.
Inafahamika lengo lao la kumtayarisha Tundu Lisu huko Belgium kwa makusudio yaleyale ya kuweka madini na rasilimali za Tanzania dhidi ya agenda zao za kudidimiza uchumi wa nchi za Afrika.