Serikali yamrejeshea Pascal Mayalla Press card yake iliyozuiliwa kwa takriban miaka 3 ataanza kuonekana Saba Saba!

Serikali yamrejeshea Pascal Mayalla Press card yake iliyozuiliwa kwa takriban miaka 3 ataanza kuonekana Saba Saba!

Hahaha aliishawaambia mtoto wa nyoka ni nyoka tu.

Ukiigiza vizuri unauza, movie za siku hizi hata humjui sterling ni nani, unaangalia hadi unachoka sasa movie inaanza kukuangalia wewe.
 
Mabeberu wabaya sana sema nini? Nyama ya beberu ni tamu sana hasa zile testicles zikitumwa bila conditions
Umasikini wa Congo DR ni wa kutengenezwa na hao hao watoa taarifa.
Kwa assets za Congo kwa sasa ni utajiri mkubwa kuliko EU na USA kwa pamoja.
Ila wamekuwa wakihakikisha nchi haipo stable ili waikwibe kadri wawezavyo then hao hao wanakuja na report kuwa Congo DR ni masikini.

Kuna lots to be done Afrika ijikomboe kutoka kwenye mifumo ya kiuchumi ambayo imejengwa na Economic Hit Men.

Amazon product ASIN 1626566747
John Perkins ana jambo kubwa sana la kutufunza. Kitabu hiki kipo kwenye PDF format na kinapatikana bure pia.
 
Umasikini wa Congo DR ni wa kutengenezwa na hao hao watoa taarifa.
Kwa assets za Congo kwa sasa ni utajiri mkubwa kuliko EU na USA kwa pamoja.
Ila wamekuwa wakihakikisha nchi haipo stable ili waikwibe kadri wawezavyo then hao hao wanakuja na report kuwa Congo DR ni masikini.

Kuna lots to be done Afrika ijikomboe kutoka kwenye mifumo ya kiuchumi ambayo imejengwa na Economic Hit Men.

Amazon product ASIN 0452287081
John Perkins ana jambo kubwa sana la kutufunza. Kitabu hiki kipo kwenye PDF format na kinapatikana bure pia.
Kweli kabisa, ni ukweli usiopingika!!
 
Kusikia Kwa Kenge Hadi Atoke Damu Puani Na Masikioni
Bila Shaka Mkuu Pascal Sasa Umeshajitambua
Enenda Zako Imani Yako Imekuponya
Tunaelekea Uchaguzi Mkuu
Uwe Upande Wetu Usije Ukabadilika Tena
Nawaangalia Halafu Nasema Hii Bhaghoshaa!!
😀😁
 
Umasikini wa Congo DR ni wa kutengenezwa na hao hao watoa taarifa.
Kwa assets za Congo kwa sasa ni utajiri mkubwa kuliko EU na USA kwa pamoja.
Ila wamekuwa wakihakikisha nchi haipo stable ili waikwibe kadri wawezavyo then hao hao wanakuja na report kuwa Congo DR ni masikini.

Kuna lots to be done Afrika ijikomboe kutoka kwenye mifumo ya kiuchumi ambayo imejengwa na Economic Hit Men.

Amazon product ASIN 1626566747
John Perkins ana jambo kubwa sana la kutufunza. Kitabu hiki kipo kwenye PDF format na kinapatikana bure pia.

Tena sasa hivi wanaizingira kabisa Congo DRC ili kuhakikisha Cobalt yakusanywa yoote kwa ajili ya magari ya kutumia battery.

Ndo maana nchi nyingi za Ulaya na Marekani zinaondokana na magari ya diseli na petrol miaka mitano ijayo.

Raisi wa Congo hatakuwa na neno kwenye hilo maana akisema watamPatrice Lumumba.

Inafahamika lengo lao la kumtayarisha Tundu Lisu huko Belgium kwa makusudio yaleyale ya kuweka madini na rasilimali za Tanzania dhidi ya agenda zao za kudidimiza uchumi wa nchi za Afrika.
 
Mwandishi wa habari nguli nchini Pascal Mayalla ameishukuru serikali na hususani msemaji wa serikali Dr Abbas kwa kumrejeshea Press card ambayo ilizuiliwa kwa takribani miaka mitatu.

Pascal Mayalla amesema kuanzia wiki ijayo ataanza kuonekana live kwenye maonesho ya Saba saba na soon ataanza kurusha vipindi vya kuhamasisha uzalendo nchini.

Source: Jicho Letu ndani ya habari Star TV!
Tulijua kuna kitu hakikosawa, maana si kwakulamba maninilii kule.
Pascal hakujali uchafu, shombo, na harufu mbaya iliyokuwa inanuka, ALILAMBA TU.

Wengine tuliona akilamba uchafu, tukajua kuna jambo analotaka siyo bure
Baada ya uchaguzi asubiri uteuzi huu ni mwanzo tu.

Pia amshukuru Dotto bulendu, kumwalika kwenye jicho letu ndani ya habari kamtengenezea njia rahisi.
Hongera pascal, ila ninashaka na uendako, hutakuwa na amani ya nafsi.

Maana umeisaliti kweli ambayo humuweka mtu huru nafsini.
Maana mahali penye mavi ulipaona, lakini ulipasafisha kwa ulimi ili pawe safi lakini hapajasafika mpaka leo, ila wewe unawaaminisha watu kuwa ni pasafi,na utaendelea kuwaaminisha ivo kwenye kipindi chako cha uzalendo.

UKWELI UKIUCHIMBIA KABURI HUWA HAUOZI, IPO SIKU UTAFUFUKA, UTASIMAMA MBELE YA MUHUSIKA NA KUMSUTA
TAKE AND KEEP IT
 
Pascal Mayalla chapa kazi mkuu. Maneno ya wivu na kejeli kutoka JF yanafahamika wala yasikusumbue, Tanzania kwanza mengine baadaye. Nyota ya Tanzania inazidi kuwaka na mwisho wa siku Watanzania wengi wataneemeka na rasilimali za nchi hii ambazo zilikuwa zinakwapuliwa na wachache ambao hawataki kufanya kazi. Timiza wajibu wako.
Nimeipenda hii
 
Mwandishi wa habari nguli nchini Pascal Mayalla ameishukuru serikali na hususani msemaji wa serikali Dr Abbas kwa kumrejeshea Press card ambayo ilizuiliwa kwa takribani miaka mitatu.

Pascal Mayalla amesema kuanzia wiki ijayo ataanza kuonekana live kwenye maonesho ya Saba saba na soon ataanza kurusha vipindi vya kuhamasisha uzalendo nchini.

Source: Jicho Letu ndani ya habari Star TV!
Ndo maana wakati mwingine watakiwa kuandika kimkakati.

Hongera kamanda Paschal.

Press card ni document muhimu sana.
 
Back
Top Bottom