Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 10,771
- 14,129
DOUGLAS SALLU una like kitu gani, Mmawia ana akili zenye mlengo wa kipinzani pinzaniWewe utaendelea kutuhudumia pale Meeda maana huna ujanja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DOUGLAS SALLU una like kitu gani, Mmawia ana akili zenye mlengo wa kipinzani pinzaniWewe utaendelea kutuhudumia pale Meeda maana huna ujanja
Usikute bado unaishi kwa wazazi wako ambao wanaishi kwa hisani na ukamilifu wa Dkt Magufuli, then unasema na wao wanalamba soli za viatu. Mijitu kama wewe ndiyo ilipaswa isizaliwe Tz.
Kuna kitu gani spesho unahisi angejutia kutozaliwa Tanzania.?
DOUGLAS SALLU una like kitu gani, Mmawia ana akili zenye mlengo wa kipinzani pinzani
Congratulions Pascal...hongera Sana...
Najua kuwa wewe umekaririshwa ujinga na ndiyo unaotapika hapa.We dogo unajua nini?
Ni wakati wake sasa...nchi yetu imebadilika hilo halina ubishi....ni kuitangaza nchi tuu.mambo ya ufisadi yalikoma 2015...Pascal Mayalla chapa kazi mkuu. Maneno ya wivu na kejeli kutoka JF yanafahamika wala yasikusumbue, Tanzania kwanza mengine baadaye. Nyota ya Tanzania inazidi kuwaka na mwisho wa siku Watanzania wengi wataneemeka na rasilimali za nchi hii ambazo zilikuwa zinakwapuliwa na wachache ambao hawataki kufanya kazi. Timiza wajibu wako.
Utakuwa na mtindio wa ubongo, wapi nimesema awe Mchaga. Mimi na Pasi ni Wasukuma wewe haikuhusu.
Mwandishi wa habari nguli nchini Pascal Mayalla ameishukuru serikali na hususani msemaji wa serikali Dr Abbas kwa kumrejeshea Press card ambayo ilizuiliwa kwa takribani miaka mitatu.
Pascal Mayalla amesema kuanzia wiki ijayo ataanza kuonekana live kwenye maonesho ya Saba saba na soon ataanza kurusha vipindi vya kuhamasisha uzalendo nchini.
Source: Jicho Letu ndani ya habari Star tv!
Pascal Mayalla chapa kazi mkuu. Maneno ya wivu na kejeli kutoka JF yanafahamika wala yasikusumbue, Tanzania kwanza mengine baadaye. Nyota ya Tanzania inazidi kuwaka na mwisho wa siku Watanzania wengi wataneemeka na rasilimali za nchi hii ambazo zilikuwa zinakwapuliwa na wachache ambao hawataki kufanya kazi. Timiza wajibu wako.
...na hapo angekuwa MKAIDI akajimwambafy kuendelea kukaza zaidi ungesikia katekwa na watu wasiojulikana!.Ila Pasco kwenye huu utawala wa JIWE kanyooshwa kweli kweli. Mara aitwe bungeni, mara azuiwe kufanya kazi zake dah.
Ndiyo maana alianza kusifia sana bila break
Paskali ni Mtanzania, nadhani kwa yeye kuwa msukuma hakumpi haki kuliko Watanzania wengine; ila pia kuwa yeye ni msukuma asinyimwe haki na fursa ambazo Watanzania wengine wanastahili kuzipataNi Msukuma mwenzetu usichoelewa nini?
Kumbe wewe unaishi kwa hisani ya yesu wa Chato?Usikute bado unaishi kwa wazazi wako ambao wanaishi kwa hisani na ukamilifu wa Dkt Magufuli, then unasema na wao wanalamba soli za viatu. Mijitu kama wewe ndiyo ilipaswa isizaliwe Tz.