Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 10,771
- 14,129
Acha ubishiJitu jinga sana wew endelea kuabudu sanamu yako....nyambafu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ubishiJitu jinga sana wew endelea kuabudu sanamu yako....nyambafu
Sasa ulitaka awe mchaga?Na ni Msukuma mwenzetu
Tumia common sense hiyo miaka mitatu alilala njaa?Aishukuru sana Star TV imempa promo nzuri, na post zake humu jamii forums za kujinyenyekeza zimemrudisha kwenye mlo.
Wewe wasema. Mimi nimesema ni Msukuma mwenzangu.Sasa ulitaka awe mchaga?
Angalia namna kilivyojengeka kila mkoa na taifa kwa ujumla.Thubutuuuu
Mayalla kwetu ni NJAA!!
Hongera sana PASKALI.
Mungu awe pamoja nae maana ni mzalendo wa hali ya juu na vipindi vyake huwa vinaelimisha umma.
Usikute bado unaishi kwa wazazi wako ambao wanaishi kwa hisani na ukamilifu wa Dkt Magufuli, then unasema na wao wanalamba soli za viatu. Mijitu kama wewe ndiyo ilipaswa isizaliwe Tz.
Sio kwamba wewe ndio kichaa?Vichaa mpo wengi sana mirembe
Mwandishi wa habari nguli nchini Pascal Mayalla ameishukuru serikali na hususani msemaji wa serikali Dr Abbas kwa kumrejeshea Press card ambayo ilizuiliwa kwa takribani miaka mitatu.
Pascal Mayalla amesema kuanzia wiki ijayo ataanza kuonekana live kwenye maonesho ya Saba saba na soon ataanza kurusha vipindi vya kuhamasisha uzalendo nchini.
Source: Jicho Letu ndani ya habari Star tv!
Akili zako mbovu mbovu kama za mwwnyekiti wako mbowAfadhali anaye ishi kwa wazazi wake lkn anajiheshimu kuliko wewe unaye shinda na kukesha pale Meeda
Ndio ulitaka awe mchaga?Wewe wasema. Mimi nimesema ni Msukuma mwenzangu.
Paskali mlamba viatu