SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Sasa unakataa nini Pasi siyo Msukuma mwenzetu? Wacha hizo NgoshaAcha ukabila wewe. Hayo mambo ya ukabila peleka Chadema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa unakataa nini Pasi siyo Msukuma mwenzetu? Wacha hizo NgoshaAcha ukabila wewe. Hayo mambo ya ukabila peleka Chadema
Baada ya kusifia hicho ndio kimembeba bila hivyo ingeliwa na mchwa kabisaMwandishi wa habari nguli nchini Pascal Mayalla ameishukuru serikali na hususani msemaji wa serikali Dr Abbas kwa kumrejeshea Press card ambayo ilizuiliwa kwa takribani miaka mitatu.
Pascal Mayalla amesema kuanzia wiki ijayo ataanza kuonekana live kwenye maonesho ya Saba saba na soon ataanza kurusha vipindi vya kuhamasisha uzalendo nchini.
Source: Jicho Letu ndani ya habari Star tv!
Tunaomba sababu ya kuzuiliwa hiyo Press Card yake, au ni lile swali?Mwandishi wa habari nguli nchini Pascal Mayalla ameishukuru serikali na hususani msemaji wa serikali Dr Abbas kwa kumrejeshea Press card ambayo ilizuiliwa kwa takribani miaka mitatu.
Pascal Mayalla amesema kuanzia wiki ijayo ataanza kuonekana live kwenye maonesho ya Saba saba na soon ataanza kurusha vipindi vya kuhamasisha uzalendo nchini.
Source: Jicho Letu ndani ya habari Star tv!
Kwn ni kosa??Usikute bado unaishi kwa wazazi wako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] leo ccm wanaukataa ukabila??Sasa unakataa nini Pasi siyo Msukuma mwenzetu? Wacha hizo Ngosha
Eti, wakati picha lote linasomeka hivyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] leo ccm wanaukataa ukabila??
Akiwa Msukuma inahusika vipi hapa?Sasa unakataa nini Pasi siyo Msukuma mwenzetu? Wacha hizo Ngosha
Ccm hakuna ukabila.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] leo ccm wanaukataa ukabila??
ThubutuuuuCcm hakuna ukabila.
Ni Msukuma mwenzetu usichoelewa nini?Akiwa msukuma inahusika vipi hapa?
Hot bush pig.....jitu la ovyo kabisa usiejielewa hujui jpm ni nani na majukumu yake hvyo unaona kila kitu anatoa fadhira....what a foolish fool.Usikute bado unaishi kwa wazazi wako ambao wanaishi kwa hisani na ukamilifu wa Dkt Magufuli, then unasema na wao wanalamba soli za viatu. Mijitu kama wewe ndiyo ilipaswa isizaliwe Tz.
Yupo mkuu..ndo huyu anayejiita USSR na Kawe..angalia comment zao kisha fuatilia na za bia yanguKumbe kilichokuwa kinamkabili Pasco ni mayala kali! Haya bwana.
Haswaaaaa..njaa ni mwana malegeza [emoji23]Kumbe kilichokuwa kinamkabili Pasco ni mayala kali! Haya bwana.
Dkt JPM ndiye baba yetu, utake usitake he is the reason wewe na mimi tunajibishana JF. Dkt Magufuli ni mteule, ana uwakili mwema toka kwa baba Yetu Mungu Baba.Hot bush pig.....jitu la ovyo kabisa usiejielewa hujui jpm ni nani na majukumu yake hvyo unaona kila kitu anatoa fadhira....what a foolish fool.
Kama mungu mnaemtajataja wewe na Kangi Lugola angekuwa huyu Mungu wa kweli tunaemuabudu angekasirika sanaDkt JPM ndiye baba yetu, utake usitake he is the reason wewe na mimi tunajibishana JF. Dkt Magufuli ni mteule, ana uwakili mwema toka kwa baba Yetu Mungu Baba.
Usiwe mbishi kama Mpinzani. Tumia akili. Rais ndiyo alama ya utawala wa Mungu. Mshukuru Mungu kwa kutuchagulia rais anayetambua mamlaka halisi yaliyo juu yake.Kama mungu mnaemtajataja wewe na Kangi Lugola angekuwa huyu Mungu wa kweli tunaemuabudu angekasirika sana
Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app