Serikali yamrejeshea Pascal Mayalla Press card yake iliyozuiliwa kwa takriban miaka 3 ataanza kuonekana Saba Saba!

Serikali yamrejeshea Pascal Mayalla Press card yake iliyozuiliwa kwa takriban miaka 3 ataanza kuonekana Saba Saba!

Dkt JPM ndiye baba yetu, utake usitake he is the reason wewe na mimi tunajibishana JF. Dkt Magufuli ni mteule, ana uwakili mwema toka kwa baba Yetu Mungu Baba.

Jf iko kabla ya yeye kuwa rais, na majibizano yalikuwepo hata kabla yake, tena wakati huo wamiliki wakiwa huru kwa kiwango cha kuridhisha, kulinganisha na sasa.
 
Mwandishi wa habari nguli nchini Pascal Mayalla ameishukuru serikali na hususani msemaji wa serikali Dr Abbas kwa kumrejeshea Press card ambayo ilizuiliwa kwa takribani miaka mitatu.

Pascal Mayalla amesema kuanzia wiki ijayo ataanza kuonekana live kwenye maonesho ya Saba saba na soon ataanza kurusha vipindi vya kuhamasisha uzalendo nchini.

Source: Jicho Letu ndani ya habari Star tv!
soon ataanza kurusha vipindi vya kuhamasisha uzalendo nchini.

hahahaaa kuunga mkono juhudi!
 
Usikute bado unaishi kwa wazazi wako ambao wanaishi kwa hisani na ukamilifu wa Dkt Magufuli, then unasema na wao wanalamba soli za viatu. Mijitu kama wewe ndiyo ilipaswa isizaliwe Tz.

Kwa upumbavu wenu mnakufuru pasipo kujua. Tunaishi kwa hisani ya Mungu, hakuna ukamilifu ktk matendo ya mwanadamu.

Ingawa wewe ni muislam ila soma kisa cha Herode ktk Matendo 12:21-23;

21 Basi siku moja iliyoazimiwa, Herode akajivika mavazi ya kifalme, akaketi katika kiti cha enzi, akatoa hotuba mbele yao.
22 Watu wakapiga kelele, wakisema, Ni sauti ya Mungu, si sauti ya mwanadamu.
23 Mara malaika wa Bwana akampiga, kwa sababu hakumpa Mungu utukufu; akaliwa na chango, akatokwa na roho.

Sipingi kupongeza kazi nzuri za Mheshimwa, ila kuweni makini na sifa mnazompa...We have a very loving and simple God, but in real sense He is very complex.
 
Mwandishi wa habari nguli nchini Pascal Mayalla ameishukuru serikali na hususani msemaji wa serikali Dr Abbas kwa kumrejeshea Press card ambayo ilizuiliwa kwa takribani miaka mitatu.

Pascal Mayalla amesema kuanzia wiki ijayo ataanza kuonekana live kwenye maonesho ya Saba saba na soon ataanza kurusha vipindi vya kuhamasisha uzalendo nchini.

Source: Jicho Letu ndani ya habari Star tv!
Juhudi yakuongeza pambia itakuwa kubwa sana
 
Back
Top Bottom