Mbatizaji Mkuu
Member
- Jul 19, 2020
- 39
- 128
Mradi wa bodaboda 2017 - 2020 pesa za wadau wa maendeleo gambo na genge lake walikusanya bila kamati pikipiki 200 kila moja 2,100,000. Bila kamati na kwenye kampeni alisema pesa ziko bank kwenye account ya NMB na paka Sasa azipo na hakuna kilicho fanyika mtu uyu aivumiliki na akisema ya watu wengine watu wanaona kinya na kichefu chefu kua iyo haki anatoa wapi uyu tapeli wa kisiasa arusha jiji
Mtu uyu alishawahi hujumu pesa za rambi rambi kwenye msiba wa ajali ya lack visent kuchangishwa bila kamati zaidi ya ml300 tunataka uyu mtu ashunguzwe
Wanawake 600 wa jiji mikopo ya laki 2 kila mmoja chanzo wadau pesa za wadau kwake yeye bila kamati kwa uwazi na paka Sasa uo mradi kauhujumu atujui izo pesa ziko wapi swali je wadau walimchangia yeye au wamama wa jiji la arusha Yani laki 2 Mara 600 ziko wapi atoke adharani aseme ziliko pesa za wamama
Ujenzi wa yumba za polisi bila kamati chanzo za pesa wadau na paka Rais jpm aligoma kukagua na kutoa cheti Cha pongezi kwa wadau
Kituo cha polisi utali chanzo wadau pesa bila kamari yeye na genge lake
Msikiti murueti pesa wadau bila kamati yeye akiwa kiongozi wa serekali na genge lake
Kituo cha polisi murueti pesa za wadau bila kamati yeye na genge lake
Mabati feki 200 murieti bila kamati paka ikaleta ugovi na DC jiji na yeye kama RC kipindi icho
Tunataka uchunguzi wa shule ya mrisho gambo pesa za wadau bila kamati yeye na genge lake paka jina la shule kuletwa bila utaratibu wala kikao cha jiji kupitisha.
Timu ya mpira wamigu ya arusha uneted pesa wadau bila kamati na paka timu imeuzwa kinyamela.
LESENI za wafanya biashara WADOGO wamadini 100 walio changiwa kupata LESENI na mafisadi wamadini bila kamati MUHUSIKA yeye na ndio maana paka sasa anakosa utamu wahoja Ata utetezi wake bungeni kwenye sekta ya MADINI anakosea kutetea UFISADI wake.
SOKO la samunge kuchomwa Moto na ujenzi kufanyika kinyamela pesa wadau bila kamati.
Mwsho ayo yote Akuna ushirikishwaji niyeye na genge lake la ndani ya chama na serekali lawapanga safu ndani ya chama paka Sasa arusha jiji.
Swali langu a napata haki wapi kumlaumu mtu au kiongozi yeyote jiji kwa Sasa kwa lolote tena wazi adharani bila ushaidi wala kufata taratibu na kanuni za vikao vya jiji.
Mtu uyu ni joka kuu kwenye jiji letu tunataka na yeye kwa Sasa achunguzwe kwanza.
Hapo ziko pesa nyingi Sana anatakiwa azitapike ili miradi ya maendeleo kwa wananchi iwe salama.
Mtu uyu alishawahi hujumu pesa za rambi rambi kwenye msiba wa ajali ya lack visent kuchangishwa bila kamati zaidi ya ml300 tunataka uyu mtu ashunguzwe
Wanawake 600 wa jiji mikopo ya laki 2 kila mmoja chanzo wadau pesa za wadau kwake yeye bila kamati kwa uwazi na paka Sasa uo mradi kauhujumu atujui izo pesa ziko wapi swali je wadau walimchangia yeye au wamama wa jiji la arusha Yani laki 2 Mara 600 ziko wapi atoke adharani aseme ziliko pesa za wamama
Ujenzi wa yumba za polisi bila kamati chanzo za pesa wadau na paka Rais jpm aligoma kukagua na kutoa cheti Cha pongezi kwa wadau
Kituo cha polisi utali chanzo wadau pesa bila kamari yeye na genge lake
Msikiti murueti pesa wadau bila kamati yeye akiwa kiongozi wa serekali na genge lake
Kituo cha polisi murueti pesa za wadau bila kamati yeye na genge lake
Mabati feki 200 murieti bila kamati paka ikaleta ugovi na DC jiji na yeye kama RC kipindi icho
Tunataka uchunguzi wa shule ya mrisho gambo pesa za wadau bila kamati yeye na genge lake paka jina la shule kuletwa bila utaratibu wala kikao cha jiji kupitisha.
Timu ya mpira wamigu ya arusha uneted pesa wadau bila kamati na paka timu imeuzwa kinyamela.
LESENI za wafanya biashara WADOGO wamadini 100 walio changiwa kupata LESENI na mafisadi wamadini bila kamati MUHUSIKA yeye na ndio maana paka sasa anakosa utamu wahoja Ata utetezi wake bungeni kwenye sekta ya MADINI anakosea kutetea UFISADI wake.
SOKO la samunge kuchomwa Moto na ujenzi kufanyika kinyamela pesa wadau bila kamati.
Mwsho ayo yote Akuna ushirikishwaji niyeye na genge lake la ndani ya chama na serekali lawapanga safu ndani ya chama paka Sasa arusha jiji.
Swali langu a napata haki wapi kumlaumu mtu au kiongozi yeyote jiji kwa Sasa kwa lolote tena wazi adharani bila ushaidi wala kufata taratibu na kanuni za vikao vya jiji.
Mtu uyu ni joka kuu kwenye jiji letu tunataka na yeye kwa Sasa achunguzwe kwanza.
Hapo ziko pesa nyingi Sana anatakiwa azitapike ili miradi ya maendeleo kwa wananchi iwe salama.