Serikali yaombwa kumchunguza Mrisho Gambo juu ya utata wa Ufisadi wa kutisha alioufanya Arusha

Gambo hana ufisadi wowote, acha kumchafua, yeye ndiyo kafichua ufisadi
 
Ulisubili mpk Dr. Pima asimamishwe ndo utoe ushuzi wako. Wee chawa wa Dr. Pima kakutuma ukalopoke huo ujinga.

Ushahidi uko wapj wa hizo accusations. Peleka kwenye hiyo tume na TAKUKURU iliyoundwa PM.

Ole wako ziwe za kubumba, ukiingia hautaruhusiwa kurudi ukotoka. Utaganganiwa, na kushitakiwa kusema uongo chini ya KIAPO. Mwanangu uongo huo ukidhibitika unapata mzigo wa miaka 7 jela. Wee ishia tu hapa JF uko kwingine hakuitaji miemuko ya kishamba.
 
Mlikuwa wapi kuyasema mpaka leo ,acheni unafiki hapa, kawa Mbunge mpo leo kisa kamchana uyo bwana mdogo ndo mnakuja na porojo hapa,
Ndo ile ya familia baba anamkamata ugoni mkewe watoto ndo wanaibuka kutaja mademu wa dingi. Haisaidii sana sana ni kuharibu ndoa tu.
 
Wajinga hawa! Yaani wanaona aliyetoa taarifa kaharibu bora wao walikuwa kimya, ko wanashinikiza mwizi asije kujaribu kufichua waharifu maana nao watamfichua. 😀😀 sa hv kwa Gambo ni kama mnatupigia kelele bora mngelisema mapema kabla yeye hajawalipua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…