Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Sawa Mkuu nashukuruIngia youtube ujionee,andika maneno mawili tu "ship launching"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa Mkuu nashukuruIngia youtube ujionee,andika maneno mawili tu "ship launching"
Wamnataka uongozi unaoendeleza kwao tu na wao kupata fursa kupiga hela ya taifa peke yao😂Wachaga watanuna mno kuona kanda ya ziwa inadhidi kupepea kimaendeleo, alikufa Magufuli wakashangilia sana
Kula malimao hiyo mimba ya mbowe itakusumbua sana.Wachaga watanuna mno kuona kanda ya ziwa inadhidi kupepea kimaendeleo, alikufa Magufuli wakashangilia sana
Wachaga watanuna mno kuona kanda ya ziwa inadhidi kupepea kimaendeleo, alikufa Magufuli wakashangilia sana
Wew ni mwehu hakika.Hio ni meli ya zaman?Huu upotevu mkubwa wa fedha za umma kukarabati meli mbovu na ya kizamani kama hii! Pia ni upotevu wa ajabu kujenga daraja la Kigogo-Busisi, bilioni 700?!!! Si tungejenga kilometer 700 za lami safi kutoka Moshi hadi Bukoba?
Ingia youtube ujionee,andika maneno mawili tu "ship launching"
Google mkuu utaona.Sikuwahi kufikiria kwamba meli inajengwa ikiwa nchi kavu, siku zote nilidhani inajengewa majini.
Sasa hapo na uzito huo itaingizwaje ziwani
NDio lishajengwa sasa...kama huamini nenda saitiHuu upotevu mkubwa wa fedha za umma kukarabati meli mbovu na ya kizamani kama hii! Pia ni upotevu wa ajabu kujenga daraja la Kigogo-Busisi, bilioni 700?!!! Si tungejenga kilometer 700 za lami safi kutoka Moshi hadi Bukoba?
Wacha ujinga! Hii meli ni mpya! Inajengwa na Wakorea! Hujui adha ya kusubiri kivuko wewe, wacha Mwanza wajikomboe aisee! Mtu unafika kivukoni unakaa saa zaidi ya 3 u asubiri kuvuka! Hili daraja ni ukombozi!Huu upotevu mkubwa wa fedha za umma kukarabati meli mbovu na ya kizamani kama hii! Pia ni upotevu wa ajabu kujenga daraja la Kigogo-Busisi, bilioni 700?!!! Si tungejenga kilometer 700 za lami safi kutoka Moshi hadi Bukoba?
Ha ha haaaa, mkuu kama una nafasi kutembelea hapo kwenye mradi ukajionee! Magu kwenye haya maswala ya ujenzi alikuwa nyoko sana yule mzee! Mungu amsamehe maovu yake yote na amweke mahali pema peponi! Hapo mkuu iko kwenye cherezo ikikamilika itakuja kusukumwa kudumbukia majini. Huwa kunawekwa mabomba makubwa huko mbele ambayo yamezibwa sehemu zote yanapangwa mengi sasa inakuwa inaserereka kwenye hayo mabomba kwenda majini! Kazi nzuri kwa mama Samia kwa kumalizi hii miradi!Sikuwahi kufikiria kwamba meli inajengwa ikiwa nchi kavu, siku zote nilidhani inajengewa majini.
Sasa hapo na uzito huo itaingizwaje ziwani
Jiwe alikufa au aliuliwa na Mungu kupitia maombi ya Watanzania?Wachaga watanuna mno kuona kanda ya ziwa inadhidi kupepea kimaendeleo, alikufa Magufuli wakashangilia sana
Wasukuma mkoa wa Mwanza wote na vitongoji vyake wataitwa kuja kushiriki kuibeba kuipeleka majini.Sikuwahi kufikiria kwamba meli inajengwa ikiwa nchi kavu, siku zote nilidhani inajengewa majini.
Sasa hapo na uzito huo itaingizwaje ziwani
Jiwe alikuwa muovu sana, hata wakina Bashite, Nyeti, Saambaya na wengine, haya yote ni mazao yake.Ha ha haaaa, mkuu kama una nafasi kutembelea hapo kwenye mradi ukajionee! Magu kwenye haya maswala ya ujenzi alikuwa nyoko sana yule mzee! Mungu amsamehe maovu yake yote na amweke mahali pema peponi! Hapo mkuu iko kwenye cherezo ikikamilika itakuja kusukumwa kudumbukia majini. Huwa kunawekwa mabomba makubwa huko mbele ambayo yamezibwa sehemu zote yanapangwa mengi sasa inakuwa inaserereka kwenye hayo mabomba kwenda majini! Kazi nzuri kwa mama Samia kwa kumalizi hii miradi!
Hapo imetegwa na imekalia madude kama mipira,Naam na mimi nilifikiria kitu kama hicho ila ya hapa nimestaajabu ngoja tuone itakuwaje
Kwani mamako aliuliwa na nani?Jiwe alikufa au aliuliwa na Mungu kupitia maombi ya Watanzania?
Hii wangefanya kama ya kitufe cha JNHPP wamwite Mama akafanye vituKunakuwa na mtego umewekwa wa kufyatua kuruhusu meli iegemee ilikoelekezwa.
Acha upumbavu wewe au sababu hukai kanda ya ziwa na hujua adha inayo patikana hukoHuu upotevu mkubwa wa fedha za umma kukarabati meli mbovu na ya kizamani kama hii! Pia ni upotevu wa ajabu kujenga daraja la Kigogo-Busisi, bilioni 700?!!! Si tungejenga kilometer 700 za lami safi kutoka Moshi hadi Bukoba?
Ingia You Tube uone, ni rahisi teknolojia imeshakua sana.Naam na mimi nilifikiria kitu kama hicho ila ya hapa nimestaajabu ngoja tuone itakuwaje
Mbona watu wa Dar wanatumia kivuko kwanini watu wa mwanza washindwe?Acha upumbavu wewe au sababu hukai kanda ya ziwa na hujua adha inayo patikana huko