Nitajie maghala angalau 10 nchi nzima yaliyosajiliwa na yanatumika kama masoko ya mazao ndugu. Nipo hapa nakungoja!Sio kweli. Mkukima asijue ghala liko wapi? Atakuwa mkukima wa wapi huyo. Acha hoja za mkato mkato. Kwa mbinu hii mkukima anaweza kunufaika sana kwa kupeleka mazao yake kwenye ghala atakatoa linatoa bei nzuri.
Uko sahihi Kabisa mkuu.Wapi waliposema Serikali imepiga marufuku kuuza mahindi Nje ya Nchi?
Mkulima ndio anaesaidiwa,yakiuzwa sehemu ambayo inatambulika , Serikali itakusanya pesa na bei itakuwa nzuri..
Mwisho Maghala yatakuwa yanatoa taarifa za kiwango Cha mazao waliyonayo hivyo Serikali itakuwa na makadirio sahihi ya uzalishaji nk..
Wapi waliposema Wageni?,niko nimekaa pale.Nawaza tu, Kwa wa ndani wao wataendelea na utaratibu wakununua mashamban maana ameongelea upande wa wageni tu.
Wapii huko kuna maghala? Au unasemea magodauni ya vitengo? Wakulima hawataki hata kusikia walidhurumiwa mnoo mwaka juzii.Sio kweli. Mkukima asijue ghala liko wapi? Atakuwa mkukima wa wapi huyo. Acha hoja za mkato mkato. Kwa mbinu hii mkukima anaweza kunufaika sana kwa kupeleka mazao yake kwenye ghala atakatoa linatoa bei nzuri.
Shida zangu, mazao yangu, unipangie lini na wapi pa kuuza[emoji848][emoji848][emoji848]Serikali imepiga marufuku Wanunuzi kwenda Kununua Mazao ya Wakulima mashambani na kuagiza mazao yote yanunuliwe kwema Maghala yaliyosajiliwa.
My Take: Wenye Stoo na madalali Sasa kazi mnayo..
========
Wizara ya kilimo Tanzania imetoa taarifa kwa umma kuhusu utaratibu wa kuuza, kununua na kurasimisha biashara za mazao nchini ambapo moja ya taratibu ni wafanyabiashara wa mazao kusajili maghala yote binafsi, ya serikali na ushirika na kutoa taarifa za mauzo ya mazao ghalani.
Ndio maana ya Mbolea ya ruzukuShida zangu, mazao yangu, unipangie lini na wapi pa kuuza[emoji848][emoji848][emoji848]
Labda anasemea magodauni ya mazao Yale ya vitengo kwa kila kata, wakulima hawataki hata kuyasikia.Nitajie maghala angalau 10 nchi nzima yaliyosajiliwa na yanatumika kama masoko ya mazao ndugu. Nipo hapa nakungoja!
Unaijua stakabadhi ghalani?Labda anasemea magodauni ya mazao Yale ya vitengo kwa kila kata, wakulima hawataki hata kuyasikia.
Walidhurumiwa mnoo mwaka juzi.
Ulipotoa ruzuku hukutoa mahali na muda wa kuuza.Ndio maana ya Mbolea ya ruzuku
Hebu nijuzee??Unaijua stakabadhi ghalani?
Bado namsubiriLabda anasemea magodauni ya mazao Yale ya vitengo kwa kila kata, wakulima hawataki hata kuyasikia.
Walidhurumiwa mnoo mwaka juzi.
Sasa jidanganyeUlipotoa ruzuku hukutoa mahali na muda wa kuuza.
Unadhani ruzuku imetatua shida zangu.
Nishauza kitambo, ada za wanangu zishalipwa. Chenji nimebaki nayoSasa jidanganye
Unataka madalali wakale wapi? Mna ajira za kuwaajiri huko serikalini?Hapa imewalenga madalali wanaoingiza Millions just kwa kununua kwa niaba ya mfanya biashara. Ni kama vile kwa mlango wa nyuma inataka kuwarasimisha.
Kurasimishwa sio kuondolewa. Sajili biashara ya ununuzi na uuzaji wa mazao serikali ipate, wewe upate, mkulima apate.Unataka madalali wakale wapi? Mna ajira za kuwaajiri huko serikalini?
Haiwezekani mtu atafute connection za wanunuzi huko South Sudan,Kenya,Congo au Uganda kisha akuletee wewe pesa shambani kwako bila ya yeye kunufaika kwa chochote.
Tembea ulimwengu mzima ,huwezi kumuondoa dalali katika chain ya biashara . Hakuna boss atakayesumbuka kutoka DRC au south Sudan kuja kufata mahindi yako huko kijijini mbigili, mbugani!!! Dalali wake ndie atakayefanya kazi ya kumkusanyia mazao na kumpakilia kwenye malori ili aupokee mzigo nchini kwake .
Kwenye biashara hakuna kitu kinaitwa kulalia bali kuna negotiation na bargaining!!Kurasimishwa sio kuondolewa. Sajili biashara ya ununuzi na uuzaji wa mazao serikali ipate, wewe upate, mkulima apate.
Sasa hivi wewe unapata, mkulima anapata kidogo sababu unamlalia, serikali haipati kabisa kutoka kwako maana umekaa hapo katikati hujulikani ila upo.
Sawa. Rasimishwa ili negotiation iwe rasmi. Kwani kuna tatizo?Kwenye biashara hakuna kitu kinaitwa kulalia bali kuna negotiation na bargaining!!
Mkulima anapokubali kuuza ina maana ameridhika na bei laa sivyo ana uhuru wa kukataa bei. Tatizo lenu mnataka mtu aje akupe mamilioni ya pesa halafu yeye akale hasara sokoni!!