Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,359
- 6,568
FYI hakuna watu wanalipa kodi hapa TZ kama wafanyabiashara wachuuzi wa mazao!! Fikiria trip moja tu nikipakia mahindi tani 30 nalipa zaidi ya sh 900k kama kodi bado hapo maushuru mengine ya sokoni!! Kwa mwezi nikizungusha trip 5 tu tayari nishaiachia serikali zaidi ya 4M...piga kwa mwaka serikali inachukua kiasi ganiKurasimishwa sio kuondolewa. Sajili biashara ya ununuzi na uuzaji wa mazao serikali ipate, wewe upate, mkulima apate.
Sasa hivi wewe unapata, mkulima anapata kidogo sababu unamlalia, serikali haipati kabisa kutoka kwako maana umekaa hapo katikati hujulikani ila upo.