Serikali yapiga marufuku ulaji wa nyama ya Nguruwe Kahama kwa muda usiojulikana

Serikali yapiga marufuku ulaji wa nyama ya Nguruwe Kahama kwa muda usiojulikana

Hapa naandikaa hii tex huku nakula nguruwe alitlyechinjwa masaa machache baada ya kuonekana kukosa nguvu.

Ni kuwa jirani yangu ngruwe wake sasa ndyo wameishaaa na walikuwa zidi ya 35. Kila siku walikuwa wakifa akaamua kuwa anawachinja akiona wanaelekea kufa na kupeleka nyama sokoni ila akifikisha sokoni nako uuzaji ni shida maana nyama ya nguruwe ipo ya kutosha sehem nyingi wanachinja wakati huu. Sasa kaamua kuchinja wote na kugawia majirani tu.
Mkuu mnalishwa mafunza na wadudu
 
Weka ushahidi mafunza na wadodo haram
Ninachojua wanaongeza CD.4 mwilini

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Pia naskia kwamba zile sindano za insuline za wagonjwa wa kisukari hua zinatengenezwa na row material kutoka kwa nguruwe wataalamu hapa mtusaidie imekaaje ili sisi wafuasi wa Mudi tuache kuzitumia.
 
Back
Top Bottom