Serikali yapiga marufuku ulaji wa nyama ya Nguruwe Kahama kwa muda usiojulikana

Mkuu mnalishwa mafunza na wadudu
 
Weka ushahidi mafunza na wadodo haram
Ninachojua wanaongeza CD.4 mwilini

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Pia naskia kwamba zile sindano za insuline za wagonjwa wa kisukari hua zinatengenezwa na row material kutoka kwa nguruwe wataalamu hapa mtusaidie imekaaje ili sisi wafuasi wa Mudi tuache kuzitumia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…