Serikali yapunguza riba ya mikopo

Hata leo ukiwnda CRDB au NMB riba ni 17% sasa watuambie hiyo 11 ilikiwa inakatwa bank gani
 

Kupata mkopo lazima uwe tajiri? Hiyo sherianimeandikwa wapi? Most of the time wanaochukua si matajiri
 
Uandishi wa kichawa huu!!
 
Unamwamini samia. Nenda bank kama utakuta hiyo riba
 
Wananchi tunataka tuambiwe hiyo riba imeshushwa kwenye benki zipi?

Maana Watanzania bado wanaendelea kuumizwa kutokana na uwepo wa riba kubwa na zisizo rafiki kwenye mikopo ya hizo taasisi za kifedha; zikiwemo benki.
Huku mtaani wasisahau Kuna nyonya dam laki Kwa laki na hamsin 150000
 
Angekuwepo JPM utekelezaji ungeanza DECEMBER hii 2022
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…