Serikali yaridhia kufuta tozo kwenye miamala ya simu

Serikali yaridhia kufuta tozo kwenye miamala ya simu

Naibu Waziri wa Wizara ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano Injinia Kundo Mathew amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la Wizara hiyo chini ya Waziri Nape Moses Nnauye la kufuta tozo katika miamala ya simu.

Naibu Waziri Kundo ameyasema haya leo July 04, 2023 akiwa katika ziara ya kikazi Mkoani Rukwa "Fahari ya Mh. Rais Samia Suluhu Hassan kuwa Rais ni pamoja na kuwasikiliza Watanzania na Wananchi anaowaongoza, ndio maana ameruhusu na kutoa maelekezo ya moja kwa moja kuondoa tozo katika miamala ya simu"

"Rais wenu kipenzi Mkuu wa Nchi ameruhusu na kutoa maelekezo tozo inayotokana na miamala ya simu iondolewe, hakutokuwa na tozo kwenye miamala ya simu, ile tozo mliokuwa mnasema Rais ameshapangua huyu ndio Mwanamapinduzi halisi wa maendeleo ya Taifa letu"

"Kila Mtu kwenye Familia yake ajue kwamba kuondoka kwa tozo hii ambayo ulitakiwa ukatwe labda Tsh.Elfu 5 haujanunua mboga jamani? ni Rais mmoja tu ambaye ameona uchungu wa Watu wake na sisi tumuunge mkono" ——— Amesema Naibu Waziri Injinia Kundo.
🤣🤣🤣🤣Ila hawa jamaa!!
 
Naibu Waziri wa Wizara ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano Injinia Kundo Mathew amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la Wizara hiyo chini ya Waziri Nape Moses Nnauye la kufuta tozo katika miamala ya simu.

Naibu Waziri Kundo ameyasema haya leo July 04, 2023 akiwa katika ziara ya kikazi Mkoani Rukwa "Fahari ya Mh. Rais Samia Suluhu Hassan kuwa Rais ni pamoja na kuwasikiliza Watanzania na Wananchi anaowaongoza, ndio maana ameruhusu na kutoa maelekezo ya moja kwa moja kuondoa tozo katika miamala ya simu"

"Rais wenu kipenzi Mkuu wa Nchi ameruhusu na kutoa maelekezo tozo inayotokana na miamala ya simu iondolewe, hakutokuwa na tozo kwenye miamala ya simu, ile tozo mliokuwa mnasema Rais ameshapangua huyu ndio Mwanamapinduzi halisi wa maendeleo ya Taifa letu"

"Kila Mtu kwenye Familia yake ajue kwamba kuondoka kwa tozo hii ambayo ulitakiwa ukatwe labda Tsh.Elfu 5 haujanunua mboga jamani? ni Rais mmoja tu ambaye ameona uchungu wa Watu wake na sisi tumuunge mkono" ——— Amesema Naibu Waziri Injinia Kundo.
Yaani mnatengeneza tatizo halafu mnalitatuanili mjisifu, huu utaahira gami? Na ni kwa miamala ya kutuma tu au hadi kutoa? Kwaniji hasmsemi ukweli kuwa ni kwenye kutuma tu?

Ila hoja juu ya mikataba kuuza Sovereignity ya Tanganyika ipo palepale..., mkataba urekebishwe!
 
Naibu Waziri wa Wizara ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano Injinia Kundo Mathew amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la Wizara hiyo chini ya Waziri Nape Moses Nnauye la kufuta tozo katika miamala ya simu.

Naibu Waziri Kundo ameyasema haya leo July 04, 2023 akiwa katika ziara ya kikazi Mkoani Rukwa "Fahari ya Mh. Rais Samia Suluhu Hassan kuwa Rais ni pamoja na kuwasikiliza Watanzania na Wananchi anaowaongoza, ndio maana ameruhusu na kutoa maelekezo ya moja kwa moja kuondoa tozo katika miamala ya simu"

"Rais wenu kipenzi Mkuu wa Nchi ameruhusu na kutoa maelekezo tozo inayotokana na miamala ya simu iondolewe, hakutokuwa na tozo kwenye miamala ya simu, ile tozo mliokuwa mnasema Rais ameshapangua huyu ndio Mwanamapinduzi halisi wa maendeleo ya Taifa letu"

"Kila Mtu kwenye Familia yake ajue kwamba kuondoka kwa tozo hii ambayo ulitakiwa ukatwe labda Tsh.Elfu 5 haujanunua mboga jamani? ni Rais mmoja tu ambaye ameona uchungu wa Watu wake na sisi tumuunge mkono" ——— Amesema Naibu Waziri Injinia Kundo.
Tunataka bandari zetu. Hii danganya toto hapana taka sisi.
 
Vp kuhusu bandari? Tanganyika inataka bandari yake tu.
 
Rais Samia huna mamlaka ya kufuta kodi.

Wala huna mamlaka ya kutunga kodi.

Ni kwa vile bunge ni jumuiya ya chama, ndio maana unaweza kutuchezea kama yule mdoli.

Futa basi na huo mkataba uliopigiwa kelele. Eti serikali sikivu.
 
Naibu Waziri wa Wizara ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano Injinia Kundo Mathew amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la Wizara hiyo chini ya Waziri Nape Moses Nnauye la kufuta tozo katika miamala ya simu.

Naibu Waziri Kundo ameyasema haya leo July 04, 2023 akiwa katika ziara ya kikazi Mkoani Rukwa "Fahari ya Mh. Rais Samia Suluhu Hassan kuwa Rais ni pamoja na kuwasikiliza Watanzania na Wananchi anaowaongoza, ndio maana ameruhusu na kutoa maelekezo ya moja kwa moja kuondoa tozo katika miamala ya simu"

"Rais wenu kipenzi Mkuu wa Nchi ameruhusu na kutoa maelekezo tozo inayotokana na miamala ya simu iondolewe, hakutokuwa na tozo kwenye miamala ya simu, ile tozo mliokuwa mnasema Rais ameshapangua huyu ndio Mwanamapinduzi halisi wa maendeleo ya Taifa letu"

"Kila Mtu kwenye Familia yake ajue kwamba kuondoka kwa tozo hii ambayo ulitakiwa ukatwe labda Tsh.Elfu 5 haujanunua mboga jamani? ni Rais mmoja tu ambaye ameona uchungu wa Watu wake na sisi tumuunge mkono" ——— Amesema Naibu Waziri Injinia Kundo.
Kama wamefuta na bajet iliishapita, hizo hela watazitoa wapi?
 
Wapinzani wakome kutuletea matozo yao, Mama umewanyoosha sana kwa kutuondolea. Tusaidie na kwenye bandari mama.
Mkuu tunaokoma ni mimi na wewe pamoja na wazazi wako kule kijijini, kwani nyie wana ccm mkienda kutuma na kutoa hela mnakuwa na kadi ya ccm ili msikatwe tozo? kama sivyo acha ushabiki wa kijinga tunaumia wote pamoja na uccm wako.
 
Hii nchi ukiwa serious unaweza ukaenda kurusha mawe Ikulu. Kwani hizo tozo zilikuwa introduced na nani mpaka leo zimeondolewa tumpongeze huyo Rais wa viti maalum?
 
Na ule mkataba wa wale waarabu wa Dubai tunamuomba auvunje mara moja Kama kweli ni msikivu.
Mkataba huu haufai na ni kama tumeuza bandari zetu zote za maziwa makuu na bahari kwa waarabu wa Dpworld.!
 
Na ule mkataba wa wale waarabu wa Dubai tunamuomba auvunje mara moja Kama kweli ni msikivu.
Mkataba huu haufai na ni kama tumeuza bandari zetu zote za maziwa makuu na bahari kwa waarabu wa Dpworld.!

Wewe ni mpigaji wa pale bandarini au mfuata mkumbo tu? Acha mama apige kazi, na unaposema haufai unaweza leta ushahidi wa hilo, na sio tu kuongea bila kuwa na ushahidi
 
Naibu Waziri wa Wizara ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano Injinia Kundo Mathew amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la Wizara hiyo chini ya Waziri Nape Moses Nnauye la kufuta tozo katika miamala ya simu.

Naibu Waziri Kundo ameyasema haya leo July 04, 2023 akiwa katika ziara ya kikazi Mkoani Rukwa "Fahari ya Mh. Rais Samia Suluhu Hassan kuwa Rais ni pamoja na kuwasikiliza Watanzania na Wananchi anaowaongoza, ndio maana ameruhusu na kutoa maelekezo ya moja kwa moja kuondoa tozo katika miamala ya simu"

"Rais wenu kipenzi Mkuu wa Nchi ameruhusu na kutoa maelekezo tozo inayotokana na miamala ya simu iondolewe, hakutokuwa na tozo kwenye miamala ya simu, ile tozo mliokuwa mnasema Rais ameshapangua huyu ndio Mwanamapinduzi halisi wa maendeleo ya Taifa letu"

"Kila Mtu kwenye Familia yake ajue kwamba kuondoka kwa tozo hii ambayo ulitakiwa ukatwe labda Tsh.Elfu 5 haujanunua mboga jamani? ni Rais mmoja tu ambaye ameona uchungu wa Watu wake na sisi tumuunge mkono" ——— Amesema Naibu Waziri Injinia Kundo.
Serikali iliyoanzisha tozo ni ipi hadi hii inayofuta tozo sasa ione kama imetufanyia tendo la huruma sana?
 
Naibu Waziri wa Wizara ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano Injinia Kundo Mathew amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la Wizara hiyo chini ya Waziri Nape Moses Nnauye la kufuta tozo katika miamala ya simu.

Naibu Waziri Kundo ameyasema haya leo July 04, 2023 akiwa katika ziara ya kikazi Mkoani Rukwa "Fahari ya Mh. Rais Samia Suluhu Hassan kuwa Rais ni pamoja na kuwasikiliza Watanzania na Wananchi anaowaongoza, ndio maana ameruhusu na kutoa maelekezo ya moja kwa moja kuondoa tozo katika miamala ya simu"

"Rais wenu kipenzi Mkuu wa Nchi ameruhusu na kutoa maelekezo tozo inayotokana na miamala ya simu iondolewe, hakutokuwa na tozo kwenye miamala ya simu, ile tozo mliokuwa mnasema Rais ameshapangua huyu ndio Mwanamapinduzi halisi wa maendeleo ya Taifa letu"

"Kila Mtu kwenye Familia yake ajue kwamba kuondoka kwa tozo hii ambayo ulitakiwa ukatwe labda Tsh.Elfu 5 haujanunua mboga jamani? ni Rais mmoja tu ambaye ameona uchungu wa Watu wake na sisi tumuunge mkono" ——— Amesema Naibu Waziri Injinia Kundo.
Ujinga mkubwa!

Alivyoingia madarakani kulikuwa na tozo? Alileta tozo halafi ameiondoa, ndiyo tuone ametufanyia muujiza?

Ni sawa uwe na mzazi anajisaidia kwenye maeneo ya wazi bila aibu, mkamlaumu sana. Akaacha kujisaidia kwenye maeneo ya wazi, halafu anatokea mjinga kuwa tumsifu kwa sababu amefanya jambo kubwa kuliko watu wote, kwani wakati anajisaidia maeneo ua wazi, na wazazi wengine wote walikuwa wanafanya hivyo?

Wakati wa Kikwete kulikuwa na tozo?
Wakati wa Magufuli kulikuwa na tozo?
Nani alileta tozo? Amefuta tozo iliyoletwa na nani?
 
Back
Top Bottom