Serikali yaridhia kufuta tozo kwenye miamala ya simu

Serikali yaridhia kufuta tozo kwenye miamala ya simu

Naibu Waziri wa Wizara ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano Injinia Kundo Mathew amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la Wizara hiyo chini ya Waziri Nape Moses Nnauye la kufuta tozo katika miamala ya simu.

Naibu Waziri Kundo ameyasema haya leo July 04, 2023 akiwa katika ziara ya kikazi Mkoani Rukwa "Fahari ya Mh. Rais Samia Suluhu Hassan kuwa Rais ni pamoja na kuwasikiliza Watanzania na Wananchi anaowaongoza, ndio maana ameruhusu na kutoa maelekezo ya moja kwa moja kuondoa tozo katika miamala ya simu"

"Rais wenu kipenzi Mkuu wa Nchi ameruhusu na kutoa maelekezo tozo inayotokana na miamala ya simu iondolewe, hakutokuwa na tozo kwenye miamala ya simu, ile tozo mliokuwa mnasema Rais ameshapangua huyu ndio Mwanamapinduzi halisi wa maendeleo ya Taifa letu"

"Kila Mtu kwenye Familia yake ajue kwamba kuondoka kwa tozo hii ambayo ulitakiwa ukatwe labda Tsh.Elfu 5 haujanunua mboga jamani? ni Rais mmoja tu ambaye ameona uchungu wa Watu wake na sisi tumuunge mkono" ——— Amesema Naibu Waziri Injinia Kundo.
Haisadii. Warudishe na fedha zote walizotoza. Wanatuibia halafu wanasema watacha kuendelea kuiba wakitarajia tutawaona wa maana? Mama wa kambo siyo mama. Arudi kwao Zenji atuachie Tanganyika yetu.
 
Naibu Waziri wa Wizara ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano Injinia Kundo Mathew amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la Wizara hiyo chini ya Waziri Nape Moses Nnauye la kufuta tozo katika miamala ya simu.

Naibu Waziri Kundo ameyasema haya leo July 04, 2023 akiwa katika ziara ya kikazi Mkoani Rukwa "Fahari ya Mh. Rais Samia Suluhu Hassan kuwa Rais ni pamoja na kuwasikiliza Watanzania na Wananchi anaowaongoza, ndio maana ameruhusu na kutoa maelekezo ya moja kwa moja kuondoa tozo katika miamala ya simu"

"Rais wenu kipenzi Mkuu wa Nchi ameruhusu na kutoa maelekezo tozo inayotokana na miamala ya simu iondolewe, hakutokuwa na tozo kwenye miamala ya simu, ile tozo mliokuwa mnasema Rais ameshapangua huyu ndio Mwanamapinduzi halisi wa maendeleo ya Taifa letu"

"Kila Mtu kwenye Familia yake ajue kwamba kuondoka kwa tozo hii ambayo ulitakiwa ukatwe labda Tsh.Elfu 5 haujanunua mboga jamani? ni Rais mmoja tu ambaye ameona uchungu wa Watu wake na sisi tumuunge mkono" ——— Amesema Naibu Waziri Injinia Kundo.
Sasa asitishe mkataba na “Deep World “ .
 
Naibu Waziri wa Wizara ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano Injinia Kundo Mathew amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la Wizara hiyo chini ya Waziri Nape Moses Nnauye la kufuta tozo katika miamala ya simu.

Naibu Waziri Kundo ameyasema haya leo July 04, 2023 akiwa katika ziara ya kikazi Mkoani Rukwa "Fahari ya Mh. Rais Samia Suluhu Hassan kuwa Rais ni pamoja na kuwasikiliza Watanzania na Wananchi anaowaongoza, ndio maana ameruhusu na kutoa maelekezo ya moja kwa moja kuondoa tozo katika miamala ya simu"

"Rais wenu kipenzi Mkuu wa Nchi ameruhusu na kutoa maelekezo tozo inayotokana na miamala ya simu iondolewe, hakutokuwa na tozo kwenye miamala ya simu, ile tozo mliokuwa mnasema Rais ameshapangua huyu ndio Mwanamapinduzi halisi wa maendeleo ya Taifa letu"

"Kila Mtu kwenye Familia yake ajue kwamba kuondoka kwa tozo hii ambayo ulitakiwa ukatwe labda Tsh.Elfu 5 haujanunua mboga jamani? ni Rais mmoja tu ambaye ameona uchungu wa Watu wake na sisi tumuunge mkono" ——— Amesema Naibu Waziri Injinia Kundo.

Ujinga mtupu, usishangae akienda huko vijijini kwa makondoo wao akashangiliwa kwa huu upuuzi.
 
Mshahara unakatwa kodi kisha unawekwa benki - Ukenda kuchukua benki unakatwa tena
Mshahara mmoja unalipa kodi mara mbili !!! Na hilo je wameliona?
 
Hivi kina Nape ,Chief Hanganya na Kina Chifu Mangungo wa Mijengoni wanatuona sisi Wa-TZ wajinga? Wanavyosema serikali imefuta tozo wakati TOZO zipo wakati wa kutoa wanaanisha nini? Hivi wanafikiri waTZ wa enzi za mwalimu ndiyo wa sasa? Kwanini walete propaganda sizizo na kichwa wala miguu? Kwanini wasisema kwamba imeondoa TOZO kwenye kutuma ila kutoa bado zipo? Unawezaje kumuongopea mtu ambaye ndiyo inayomuathiri unafikiri hatojua? Kiendo cha kubakiza TOZO kwenye kutoa ni bora wangeacha tu hivyo hivyo maana TOZO za kwenye kutoa ni Kubwa.
 
Dunno what else to say but I like this Swahili phrase " ajitekenya and acheka mwenyewe"

She brought it, she tortured her people and now she act innocent, shame!
 
Back
Top Bottom