Serikali yasaini Mikataba 4 ya Msaada wa Tsh. Trilioni 1.4

Serikali yasaini Mikataba 4 ya Msaada wa Tsh. Trilioni 1.4

Hivi wakaamua kuzitafuna zote, tutapima vipi kama kwei hayo magonjwa yamepungua au hiyo mifumo imeimarika?

Pia huo sio msaada , tutalipa hizo pesa kwa namna yoyote ile!
 
Huu mfuko wa Global Fund ulianzishwa mwakanl 2002 na Koffi Annan akiwa SG wa Umoja wa Mataifa. Ni mfuko ulioanzishwa kukabiliana na magonjwa ya UKIMWI, Kifua Kikuu na Malaria katika nchi za Africa, Asia na South America.

Kabla ya Mfuko huu wagonjwa walikuwa wanashindwa ku afford matibabu hasa ya UKIMWI kwa kuwa bei dozi ya mwezi mmoja ilikuwa inakaribia Tsh 300,000. Hivyo basi ni watu wengi hasa wa Third World waliokufa kwa ugonjwa wa UKIMWI.

Vyanzo vya mfuko huu ni michango ya fedha kama msaada kutoka nchi za USA, United Kingdom, Sweden, Canada, EU na makampuni makubwa kama Cocacola, Gates Foundation, etc

Misaada hii huyolewa kwa nchi ambazo zinakidhi vigezo na siyo mkopo.

Kuhusu ku-miuse hela za mfuko huu siyo rahisi kwa kuwa wasimamizi wa fedha hizi ni makampuni makubwa ya ukaguzi wa mahesabu. Kwa Tanzania zinakaguliwa na PWC
Hauna semina/training huo mfuko?
 
Kwenye clinic za HIV siku hizi hawatoi tiba ya magonjwa nyemelezi kisa hakuna fedha, sasa hizi mkajengee MAHEKALU DUBAI na makumi ya Scania Marcopolo na Yutong buses
 
Kwenye clinic za HIV siku hizi hawatoi tiba ya magonjwa nyemelezi kisa hakuna fedha, sasa hizi mkajengee MAHEKALU DUBAI na makumi ya Scania Marcopolo na Yutong buses
Wagonjwa wengi wanafariki kwa kushindwa kutibu magonjwa nyemelezi kwa kukosa uwezo wa kifedha ni vyema moja ya matumizi ya fedha hizo iwe ni kuwasaidia dawa na vipimo wagonjwa wa HIV.
 
Hivi wakaamua kuzitafuna zote, tutapima vipi kama kwei hayo magonjwa yamepungua au hiyo mifumo imeimarika?

Pia huo sio msaada , tutalipa hizo pesa kwa namna yoyote ile!
Kuna mifumo ya Monitoring & Evaluation yote ina capture indicators muhimu
 
Ni
Mkuu big no, kuna semina kibao zinaandaliwa na Wizara ya afya kwa kushirikiana na global fund au huwa wanaamaanisha ni nini?
Ni kweli semina nyingi sana huandaliwa na bajeti kubwa tu hasa mikoa ambayo wananchi bado wako nyuma na elimu ya afya huwa wanapelekwa vijana wenye elimu za kuunga kuunga shida wizara husika si wafuatiliaji hapo wasimamizi hizo semina ndio wapigaji.
 
Ni

Ni kweli semina nyingi sana huandaliwa na bajeti kubwa tu hasa mikoa ambayo wananchi bado wako nyuma na elimu ya afya huwa wanapelekwa vijana wenye elimu za kuunga kuunga shida wizara husika si wafuatiliaji hapo wasimamizi hizo semina ndio wapigaji.
Plate moja badala ya kuuzwa elfu 8 utakuta inauzwa elfu 30, ongezeko lote ni ajili ya akina Ummy na genge lake
 
Kwa hiyo nyie na China mnafanana mwendawazimu wewe ? Na unajua hayo madeni ya China ni ya Bank zipi ?
Wewe mpumbavu get to know kwamba deni ni deni regardless of what.

Huwezi kuendelea bila kukopa sawa wewe mbuzi?
 
Wewe mpumbavu get to know kwamba deni ni deni regardless of what.

Huwezi kuendelea bila kukopa sawa wewe mbuzi?
Kama umeshindwa kujibu hayo maswali wewe ni tahira.

Huwezi jifananisha na China, akili ndogo kamwe haifanani na akili kubwa.
 
Kama umeshindwa kujibu hayo maswali wewe ni tahira.

Huwezi jifananisha na China, akili ndogo kamwe haifanani na akili kubwa.
Wewe ndio akili ndogo,hiyo akili kubwa Iko wapi?

Huwezi kuendelea bila kukopa,China walikopa ndio wakaendelea sawa wewe nyumbu.
 
Wewe mpumbavu get to know kwamba deni ni deni regardless of what.

Huwezi kuendelea bila kukopa sawa wewe mbuzi?
Tofauti ya China na jamhuri yetu ya mserereko na madeni mvururu China wanakopa wana mikakati mpaka ya miaka 30 ijayo wewe unakopa kutatua shida ya sasa ikitokea shida nyingine kesho unakopa tena wenzio sio wajinga kama wewe usifananishe usingizi na kifo kajifunze kwanza harafu urudi.
 
Tofauti ya China na jamhuri yetu ya mserereko na madeni mvururu China wanakopa wana mikakati mpaka ya miaka 30 ijayo wewe unakopa kutatua shida ya sasa ikitokea shida nyingine kesho unakopa tena wenzio sio wajinga kama wewe usifananishe usingizi na kifo kajifunze kwanza harafu urudi.
Kwani sisi tunakopa bila mikakati ya miaka 30 ijayo?

Ni aibu Nchi maskini kuogopa kukopa
 
Back
Top Bottom