Serikali yasaini Mikataba 4 ya Msaada wa Tsh. Trilioni 1.4

Hivi wakaamua kuzitafuna zote, tutapima vipi kama kwei hayo magonjwa yamepungua au hiyo mifumo imeimarika?

Pia huo sio msaada , tutalipa hizo pesa kwa namna yoyote ile!
 
Hauna semina/training huo mfuko?
 
Kwenye clinic za HIV siku hizi hawatoi tiba ya magonjwa nyemelezi kisa hakuna fedha, sasa hizi mkajengee MAHEKALU DUBAI na makumi ya Scania Marcopolo na Yutong buses
 
Kwenye clinic za HIV siku hizi hawatoi tiba ya magonjwa nyemelezi kisa hakuna fedha, sasa hizi mkajengee MAHEKALU DUBAI na makumi ya Scania Marcopolo na Yutong buses
Wagonjwa wengi wanafariki kwa kushindwa kutibu magonjwa nyemelezi kwa kukosa uwezo wa kifedha ni vyema moja ya matumizi ya fedha hizo iwe ni kuwasaidia dawa na vipimo wagonjwa wa HIV.
 
Hivi wakaamua kuzitafuna zote, tutapima vipi kama kwei hayo magonjwa yamepungua au hiyo mifumo imeimarika?

Pia huo sio msaada , tutalipa hizo pesa kwa namna yoyote ile!
Kuna mifumo ya Monitoring & Evaluation yote ina capture indicators muhimu
 
Ni
Mkuu big no, kuna semina kibao zinaandaliwa na Wizara ya afya kwa kushirikiana na global fund au huwa wanaamaanisha ni nini?
Ni kweli semina nyingi sana huandaliwa na bajeti kubwa tu hasa mikoa ambayo wananchi bado wako nyuma na elimu ya afya huwa wanapelekwa vijana wenye elimu za kuunga kuunga shida wizara husika si wafuatiliaji hapo wasimamizi hizo semina ndio wapigaji.
 
Plate moja badala ya kuuzwa elfu 8 utakuta inauzwa elfu 30, ongezeko lote ni ajili ya akina Ummy na genge lake
 
Kwa hiyo nyie na China mnafanana mwendawazimu wewe ? Na unajua hayo madeni ya China ni ya Bank zipi ?
Wewe mpumbavu get to know kwamba deni ni deni regardless of what.

Huwezi kuendelea bila kukopa sawa wewe mbuzi?
 
Wewe mpumbavu get to know kwamba deni ni deni regardless of what.

Huwezi kuendelea bila kukopa sawa wewe mbuzi?
Kama umeshindwa kujibu hayo maswali wewe ni tahira.

Huwezi jifananisha na China, akili ndogo kamwe haifanani na akili kubwa.
 
Kama umeshindwa kujibu hayo maswali wewe ni tahira.

Huwezi jifananisha na China, akili ndogo kamwe haifanani na akili kubwa.
Wewe ndio akili ndogo,hiyo akili kubwa Iko wapi?

Huwezi kuendelea bila kukopa,China walikopa ndio wakaendelea sawa wewe nyumbu.
 
Wewe mpumbavu get to know kwamba deni ni deni regardless of what.

Huwezi kuendelea bila kukopa sawa wewe mbuzi?
Tofauti ya China na jamhuri yetu ya mserereko na madeni mvururu China wanakopa wana mikakati mpaka ya miaka 30 ijayo wewe unakopa kutatua shida ya sasa ikitokea shida nyingine kesho unakopa tena wenzio sio wajinga kama wewe usifananishe usingizi na kifo kajifunze kwanza harafu urudi.
 
Kwani sisi tunakopa bila mikakati ya miaka 30 ijayo?

Ni aibu Nchi maskini kuogopa kukopa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…