Serikali yasaini mkataba ujenzi Daraja la Jangwani, Sh Bilioni 97.1 kutumika

Hivi wame shindwa kupata mkandarasi wa ndani anae jua hilo eneo vizuri zaidi hizo shilling bn 97 zibaki hapa hapa nchini,........college of civi Engineering Udsm haina product wa kujenga hilo daraja la robo kilomiter kweli?
Wakandarasi wa ndani hawa wanaoshindwa hata kutengeneza vidaraja vya mitaani!hapana aisee
 
Mji mkuu umehamishiwa Dodoma, inatosha. Kuhamishia Jiji Bagamoyo unamaansiha wananchi wa Dar tupelekwe Bagamoyo au unamaanisha nini?
Nilipoweka neno kuhamisha kwenye inverted quotes nilikuwa na sababu. Duniani kuna miji mingi tu ''imehamishwa'' na ukienda unakuta kuna mji mpya na mji wa zamani.
 
Panajengwa daraja sawa!, hizo barabara zilizopo zinabaki kama zilivyo na daraja linakuwa juu?..
 
Nchi ina matatizo mengi hii unadhani chadema ndio wangemaliza shida zote?
Ahaaa. Akili zako ni za kitanzania 100%. Ukisema CCM inafanya vibaya basi automatically wewe ni CHADEMA. Ujinga gani huu wa kukariri. Kinachotakiwa Tanzania ni mfumo mzuri na viongozi wenye upeo na waadilifu na siyo CHADEMA. Nchi zote zilizoendelea za dunia hii zainaongozwa na CHADEMA?
 
Nilipoweka neno kuhamisha kwenye inverted quotes nilikuwa na sababu. Duniani kuna miji mingi tu ''imehamishwa'' na ukienda unakuta kuna mji mpya na mji wa zamani.
Sawa, Dar kuhamishiwa Bagamoyo inamaanisha nini? Serikali imeshahamia Dodoma, sasa Bagamoyo kinahamia nini? Tubebe maghorofa toka Dar tuyapeleke huko au?
 
kuna kiumbe kasema 4R ndio zimesababisha ujenzi huo uje! Kwa vipi?
 
Hili daraja ndilo lilitakiwa kuanza kabla ya Tanzanite. Sielewi kwa nini walianza na la Tanzanite.
 
Hii nchi bhana kuna mda unajiuliza tu wakati wanaweka stend ya mwendokasi pale ina maana hawakuwaza mafuriko ya lile eneo πŸ˜‚...

Nchi kama China ukifanya Uzembe kama huu ni kunyongwa tu hakuna kingine.
 
Hivi wame shindwa kupata mkandarasi wa ndani anae jua hilo eneo vizuri zaidi hizo shilling bn 97 zibaki hapa hapa nchini,........college of civi Engineering Udsm haina product wa kujenga hilo daraja la robo kilomiter kweli?
Nafikiri hizi kazi huwa ni maelekezo toka juu, hata ukiwa na bei ya chini bado tender yako itakataliwa.
 
Maigizo haya, Kwani deni la Kajima tuliisha maliza? Uchaguzi ujao na mapicha picha
 
Wakandarasi wa ndani hawa wanaoshindwa hata kutengeneza vidaraja vya mitaani!hapana aisee
Nakumbuka kuna mwaka mbongo mmoja alipewa kutengeneza hizi bara bara za mitaani.

Akawa anaishi gesti moja maeneo ya hapo hapo.

Alipomaliza kazi , baada ya miaka miwili tu ile barabara ni mashimo tu na ilikuja kurudiwa tena.

Wakandarasi wa ndani wanaweza kazi ila kuna wakati wanaharibu wenyewe.
 
Maendeleo HAYANA CHAMA!
HONGERA ZAO!
 
Muda wa maandalizi umo katika Mkataba na hapakuwa na sababu ya waziri kutoa "maelekezo". Kama muda uliokuwemo kwenye mkataba ni zaidi ya hiyo miezi mitatu, mkandarasi atakuwa na haki ya kudai malipo ya ziada mara atakapo pokea maelekezo kutoka kwa mshauri wa mradi. Sio lazima waziri atoe maelekezo kila anapo simama kwenye jukwaa. Hiyo kazi awaachie wale walioainishwa katika mkataba kuwa ndio wenye mamlaka ya kutoa maelekezo.

Amandla...
 
Mkandarasi anaongozwa na mkataba katika utekelezaji wa mradi. Wa kulaumiwa ni wale waliotayarisha makabrasha ya mradi pamoja na wale waliokuwa wanamsimamia.

Amandla...
 
Hivi wame shindwa kupata mkandarasi wa ndani anae jua hilo eneo vizuri zaidi hizo shilling bn 97 zibaki hapa hapa nchini,........college of civi Engineering Udsm haina product wa kujenga hilo daraja la robo kilomiter kweli?
Serikali imejaza wajinga and no strategy people, barabara na madaraja ilikuwa sehemu nzuri ya kuajiri foreigners na sehemu ya kufanyia reverse engineering, tunapoteza billions unnecessary
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…