digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Mkuu sheria zetu haziruhusu mkandarasi wa ndani kupewa mradi wa zaidi ya billion 50, ndo maana wakapewa hao outsiders,Lakini pia upande wangu napenda sana outsider contractors,hawa wetu ni tia maji sana.Hata hiyo miradi ya chini ya 50 Billion Bado ni kubwa sana ,walipaswa wapewe miradi isiyozidi 5 Billions tu.Hivi wame shindwa kupata mkandarasi wa ndani anae jua hilo eneo vizuri zaidi hizo shilling bn 97 zibaki hapa hapa nchini,........college of civi Engineering Udsm haina product wa kujenga hilo daraja la robo kilomiter kweli?