Halaiser
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 4,230
- 6,653
Walikata mti ambao na wao wenyewe wapo juu.Simlaumu kuwa hajapata hio taarifa, maana internet walizima.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walikata mti ambao na wao wenyewe wapo juu.Simlaumu kuwa hajapata hio taarifa, maana internet walizima.
Waache tu mkuu. Wapinzani ndo walikuwa wanachelewesha maendeleo nchi hii. Watajua hawajui. Hivi unakumbukumbu kuna jambo washawahi leta CCM bungeni likakataliwa kaajili ya wapinzani? Sasa walizuiaje maendeleo? Magufuli angekutana na Nancy Pelos angemnyonga hadharani.ndio mkuu, hii issue jiwe anaichukulia powa ila huwenda ikaleta madhara makubwa badae,mbugani hakutokuwa na watalii,jana korea imewataadhalisha wananchi wake wasiende kusini mwa Tanzania huko mtwara nk
Wameuawa kwa mujibu wa sheria.Kama no ya kuuwawa ni kwa mujibu wa nini?
Ingekuwa ni ripoti ya uchumi wa kati wangepata.Kwa mujibu wa Prof.Mchome tunawaomba UN waache UMBEA....
Siku hizi UN wanafanyia kazi za UMBEA ee?!!!!
professor by professional....Ni profesa wa nini?
Ukiwatizama hawa maprofessa wa Tanzania unaweza kughairi kuendelea na masomo na kuingia mtaani tu kuhustle. Bora Profesa na sio Profesa boraInawezekana anawakilisha maprofesa wa Tanzania nzima ,saa ingine misemo ya kikwetu inasaidia ,akioza mmoja wameoza wote.
Ofcourse,ana plan ya kujiongezea muda madarakani, na hicho ndicho kinachozidi kuwapa kibri na majivuni hawa vibaraka na wapiga mapambio.Wanadhani Magufuli ataishi milele na kwenye hicho cheo.
hawana taarifa kweli, ndio maana hakuna aliyehisiwa au kukamatwa!Usishangae hata kushambuliwa risasi kwa lisu wakakwambia hawana taarifa!!
Sio rahisi mkuu. Labda aje na Tanzania yake. Hata wao wako kimya ila wamemchoka. Hajufikia sehemu ya kuzalisha wakimbizi wa kisiasa ila uroho wa mtu mmoja ambaye hana ubinadamu umetufikisha huko na kututia aibuOfcourse,ana plan ya kujiongezea muda madarakani, na hicho ndicho kinachozidi kuwapa kibri na majivuni hawa vibaraka na wapiga mapambio.
Uhakika wa ugali, thats why wanaropoka tu!
Hawajielewi wanajiona watakaa na hayo madaraka milele,hawajui hivi vyeo ni mapito hata wanayehaingaika naye hawajui siku moja atakuwa uraiani kama raia wa kawaidaProf. mdomo ulipoza kichwa! kuwa makini na mdomo wako! Cheo ulicho nacho ni cha muda! Jitafakari na chunguza kabla ya kusema.