Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Bunge la 12 Mkutano wa 11, Kikao cha Saba, Ijumaa Aprili 14, 2023
SERIKALI YASEMA TANZANIA INA DIASPORA MILIONI 1.5
Takwimu hizo za Diaspora ni kwa mujibu wa taarifa kutoka ofisi za Kibalozi za #Tanzania zilizopo nje ya Nchi
Naibu Waziri, Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk amesema Wizara inakamilisha mfumo wa kidigitali ambao unatarajiwa kukamilika Juni 2023 utakaowezesha ukusanyaji endelevu wa takwimu za Watanzania wanaoshi nje ya Nchi
SERIKALI YASEMA TANZANIA INA DIASPORA MILIONI 1.5
Takwimu hizo za Diaspora ni kwa mujibu wa taarifa kutoka ofisi za Kibalozi za #Tanzania zilizopo nje ya Nchi
Naibu Waziri, Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk amesema Wizara inakamilisha mfumo wa kidigitali ambao unatarajiwa kukamilika Juni 2023 utakaowezesha ukusanyaji endelevu wa takwimu za Watanzania wanaoshi nje ya Nchi