Serikali yasema Tanzania ina Diaspora Milioni 1.5

Tanzania haifaidiki na Diaspora wake kwa sababu ya sheria za kingese.
 
Hata ukiwa hapo malawi ukaenda bongo unahesabiwa umeenda nje ya nchi. Na taarifa za bongo husomwa kama habari za kimataifa.
 
Mbona ni Uongo, maana idadi ya Passport ni chini ya 400,000 na hii ni taarifa ya Uhamiaji, je hao Watanzania hawana passport?
Diaspora hiana uhusiano na passport. Diaspora ni watanzania wanaoishi nje wenye asili ya Tanzania sio lazima wawe na passport ya Tanzania.
 
Hao wabakie huko huko wasirudi huku tunalipa tozo tu zinaliwa.
 
Kila mmoja akitumia Dola kumi za marekani kwenye akaunti ya serikali ya diaspora,hatupati hela za madawati,matundu ya vyoo nk?
dola 10 X 1.5 ikifika hapa Tanzania mtu aipigia mahesabu.
 
Wamehesabu na hawa mateja huku SOUTH AFRICA au? Ifike point diaspora isichukuliwe kama jina bali hii ni Status na ili uitwe hivyo ni lazima uwe na shughuli maalum huko majuu.
Tena huko wapo wengi sana
 
Kila mmoja akitumia Dola kumi za marekani kwenye akaunti ya serikali ya diaspora,hatupati hela za madawati,matundu ya vyoo nk?
Ikipitia halmashauri inapotelea hukohuko,
Hawakawii kusema wameipangia kazi nyingine!
 
Diaspora ni pamoja na watoto wao labda waliozaliwa huko
Kwamba Uhamiaji walisema Passport zilizotolewa ni 130,000 hao ndo wamezaliana hadi kufika 1.5mil?

Kuna kitu hakiko sawa either hao ni wahamiaji haramu.

Tungekuwa na wingi huo wa diaspora tungeona hata kwenye green card watu wanajiandikisha wengi.
 
Kwamba Uhamiaji walisema Passport zilizotolewa ni 130,000 hao ndo wamezaliana hadi kufika 1.5mil?

Kuna kitu hakiko sawa either hao ni wahamiaji haramu.

Tungekuwa na wingi huo wa diaspora tungeona hata kwenye green card watu wanajiandikisha wengi.
Passport mpya ndo hizo
Diaspora Wengi Wana passport za zamani bado
 
Reactions: Tui
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…