Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo source yako ni kibarua? Kama amefukuzwa kazi atakwambia?Mradi wa sgr mwanza umesimama baada ya serikali kushindwa kulipa wakandarasi. Mmoja wa vibarua kwenye mradi huo amenambia walitangaziwa na wakandarasi kuwa hakuna pesa hivyo shughuli zinasimama mpaka serikali itakapolipa
Mnashinda njaa? Mnaishije sasa?Ni kweli hata mimi niko hapa beam yard Mkuyuni, hata kula siku hizi hatuli kabisa
Alafu wakute majukwaani huku Ndio utajuaMradi wa SGR Mwanza umesimama baada ya serikali kushindwa kulipa wakandarasi. Mmoja wa vibarua kwenye mradi huo amenambia walitangaziwa na wakandarasi kuwa hakuna pesa hivyo shughuli zinasimama mpaka serikali itakapolipa.
tunakula mapera na majiMnashinda njaa? Mnaishije sasa?
Wakamilishe ya Morogoro kwanza ianze kaziMradi wa SGR Mwanza umesimama baada ya serikali kushindwa kulipa wakandarasi. Mmoja wa vibarua kwenye mradi huo amenambia walitangaziwa na wakandarasi kuwa hakuna pesa hivyo shughuli zinasimama mpaka serikali itakapolipa.
Ukiwa masikini hadi njaa unaizoea.Mnashinda njaa? Mnaishije sasa?
Tena Lissu kasema mradi umesimama kabisaa, ha ha ha😎Pia na daraja la Kigongo Ferry ujenzi wake kama vile umesimama.