RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Mkuu tunakusanya mara mbili zaidi ya yule shujaa wenu hakuna mradi umesimama wanaosema hivyo ni sukuma gang tu wanatetea legacy.Kuna wale mumiani wanaimba mapambio ya record za kupikwa makusanyo ya TRA kama kasuku.
Huo mradi umesimama kitambo tu,ni tuta pekee ndiyo linaweza kuwa zaidi ya 80% illhali mkataba ilikuwa mkandarasi akabidhi Juni 2024.
Hata Makutu-Tabora ni juzi tu Waturuki wamepiga barua wafanyakazi warudi kwao hakuna hela.
Kabla hujanishambulia tafakari kidogo.