Mkuu tunakusanya mara mbili zaidi ya yule shujaa wenu hakuna mradi umesimama wanaosema hivyo ni sukuma gang tu wanatetea legacy.Kuna wale mumiani wanaimba mapambio ya record za kupikwa makusanyo ya TRA kama kasuku.
Huo mradi umesimama kitambo tu,ni tuta pekee ndiyo linaweza kuwa zaidi ya 80% illhali mkataba ilikuwa mkandarasi akabidhi Juni 2024.
Hata Makutu-Tabora ni juzi tu Waturuki wamepiga barua wafanyakazi warudi kwao hakuna hela.
Hii Ni kweli..Serikali ni bora ingewapa wachina wamalizie mradi kwa mkopo!Mradi wa SGR Mwanza umesimama baada ya serikali kushindwa kulipa wakandarasi. Mmoja wa vibarua kwenye mradi huo amenambia walitangaziwa na wakandarasi kuwa hakuna pesa hivyo shughuli zinasimama mpaka serikali itakapolipa.
Export-Import Bank of China (EXIM) hawa ni nyoko mzee. Ulizia SGR Kenya.Hicho si kipande nilisikia kinajengwa kwa mkopo na benk flan ya watu wa china?..... si ni kwamba serikali haiusiki na malipo au mimi ndo sikuelewa?
Nasikia na bomba la mafuta lile la Uganda pesa zimekuwa changa motoMradi wa SGR Mwanza umesimama baada ya serikali kushindwa kulipa wakandarasi. Mmoja wa vibarua kwenye mradi huo amenambia walitangaziwa na wakandarasi kuwa hakuna pesa hivyo shughuli zinasimama mpaka serikali itakapolipa.
Hakuna binadam anaehisi njaa kama maskini. Maskini anaappetite muda wote.Ukiwa masikini hadi njaa unaizoea.
Appetite ya kitu huna uwezo nacho basi hao ni masikini wa kishua.Hakuna binadam anaehisi njaa kama maskini. Maskini anaappetite muda wote.
Miradi mingi imesimama kwa changamoto ya pesa , hazina hakuna pesa, Kuna mikataba mingi ya ujenzi imesainiwa lakina ujenzi umesimama kwa vile wakandarasi hawajapewa pesa ya advance.Mradi wa SGR Mwanza umesimama baada ya serikali kushindwa kulipa wakandarasi. Mmoja wa vibarua kwenye mradi huo amenambia walitangaziwa na wakandarasi kuwa hakuna pesa hivyo shughuli zinasimama mpaka serikali itakapolipa.