Serikali yasitisha huduma za TIA SMILE Massage & SPA kwa kukiuka Sheria

Serikali yasitisha huduma za TIA SMILE Massage & SPA kwa kukiuka Sheria

Hii biashara imevamiwa na wAshamba sasa mtu unaweka
Tangazo unaonesha kila kitu
Jamii inaona nini kinafanyika
Unamchukua dotto magari na wapiga
Domo wengine mnawaonesha mkiwakogesha...
Kuna massage ziko masaki obay msasani miaka nenda rudi...hata picha wala video huioni
Biashara ikishavamiwa na washamba,mly wachaf tabu tupu

Ova
 
Hii biashara imevamiwa na wAshamba sasa mtu unaweka
Tangazo unaonesha kila kitu
Jamii inaona nini kinafanyika
Unamchukua dotto magari na wapiga
Domo wengine mnawaonesha mkiwakogesha...
Kuna massage ziko masaki obay msasani miaka nenda rudi...hata picha wala video huioni
Biashara ikishavamiwa na washamba,mly wachaf tabu tupu

Ova
Mzee kuwa muungwana basi, hiyo video iko wapi?
 
Aanze na madanguro
1. Tandika Sokoni,
2. Temeke Sudan,
3. Sugar Ray,
4. Bugurun Sokoni,
5. Mwananyamala Hospitali,
6. Manzese mferejini,
7. Uwanja wa Fisi
8. Msasani Macho.
Bei kuanzia 3,000/round. Bodaboda na walinzi wa Kimasai ndo wanashinda huko
sema na wewe ni mteja ila mpaka video ivuje ndio hatua zitachukuliwa.

kama wanafanya kwa siri no problem
 
View attachment 2796573
Ni uamuzi wa Serikali kupitia Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Doroth Gwajima ikiwa ni baada ya Video ya Tangazo la huduma za 'Massage' iliyowekwa Mitandaoni, kuripotiwa kuwa ina Vitendo vilivyo kinyume na maadili.

Kwa mujibu wa taarifa ya Wizara hiyo, huduma za Kituo zimesitishwa kuanzia Oktoba 26, 2023 kutokana na kutokidhi vigezo vya Sheria Namba 23 ya Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala, pia mmiliki ametozwa faini ya Tsh. Laki 5 pamoja na kupewa maelekezo mengine ambayo kama atayakiuka atafikishwa Mahakamani.

Pia,, Waziri Gwajima ameelekeza Mamlaka Husika kuwafuatilia Watoa Huduma wengine ili kuwabaini wasiotimiza matakwa ya Sheria na ikiwemo kuathiri Ustawi wa Jamii na kuchochea Mmomonyoko wa Maadili unaosababisha matukio ya Unyanyasaji, Udhalilishaji wa Kijinsia ambapo waaathirika wakuu ni Watoto.

Aidha, Wizara imetoa mawasiliano ya moja kwa moja kwa wanaotaka kuripoti masuala mbalimbali Wizarani watumie namba 0734 986503 na 026 2160250, matukio ya Ukatili wa Watoto namba 116 Saa 24 kila siku bila malipo. Na iwapo Waziri mwenye dhamana atahitajika, tuma ujumbe kwenye namba 0765 345777 na 0734 124191.

=============

Serikali inajiendesha bila utaratibu! Yaani watu wanaoanza shughuli na biashara, serikali haina habari, wala kujua kuwa kuna sheria zinakiukwa na hivyo taasisi, ni mpaka wanapotokea kufanya jambo tofauti na ukiukwaji ya hiyo sheria, ndio serikali inaamka kutoka usingizini na kuifungia biashara. Hamna utaratibu wa kufuatilia usajili na hatimae mwenendo wa biashara? Kungekuwa na huo utaratibu haya mengine ya kwenda kinyume na maadili yasingetokea.

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Kabla sijafika nyumbani inabidi nipitie hapo nione kuna tatizo gani
 
Hili na jambo la kushughulikiwa na wizara??
 
Kama video haitumwi huu uzi wa kazi gani?..Sie hilo tangazo la nini?
 
Back
Top Bottom