Coach Slamah Hamad
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 3,740
- 4,938
Ni mambo ya kipumbavu. Massage ni adult service, ni private service na wanaoenda ni watu wazima tu. Sasa unafungia ili iweje?
ulivyo eti umuite waziri pm..chefu!Dkt. Gwajima D nitakupeleka sehemu panaitwa chimbo, ni danguro, lina vitoto vidogo kuanzia miaka 13 vya kike kwa kiume vinatoa huduma mbalimbali za kingono. Njoo PM nikupeleke uone maadili yanavyo momonyolewa
Mzee kuwa muungwana basi, hiyo video iko wapi?Hii biashara imevamiwa na wAshamba sasa mtu unaweka
Tangazo unaonesha kila kitu
Jamii inaona nini kinafanyika
Unamchukua dotto magari na wapiga
Domo wengine mnawaonesha mkiwakogesha...
Kuna massage ziko masaki obay msasani miaka nenda rudi...hata picha wala video huioni
Biashara ikishavamiwa na washamba,mly wachaf tabu tupu
Ova
Video iko wapii yakheeeeIle video walizingua.
Zidumu massage parlours.
Kunakua na haja Gani sasa yakua na sheria ?Kwani kuna mtu analazimishwa kwenda huko? Na isitoshe wanaoenda ni watu wazima!
Hilo tangazo lao umeliona au unajribu tu kua hyped in a none hyped situation?Ni mambo ya kipumbavu. Massage ni adult service, ni private service na wanaoenda ni watu wazima tu. Sasa unafungia ili iweje?
Hivi hii body to body massage inakuwagaje?
sema na wewe ni mteja ila mpaka video ivuje ndio hatua zitachukuliwa.Aanze na madanguro
1. Tandika Sokoni,
2. Temeke Sudan,
3. Sugar Ray,
4. Bugurun Sokoni,
5. Mwananyamala Hospitali,
6. Manzese mferejini,
7. Uwanja wa Fisi
8. Msasani Macho.
Bei kuanzia 3,000/round. Bodaboda na walinzi wa Kimasai ndo wanashinda huko
Kwani waziri hajui madanguro yalipo? Wana jua Sana au Kama kweli hawajui waukize itv warudie kile kipindi chaoUmepewa namba za kutoa taarifa unataka aje pm.
Waziri na wizara yake wanatafuta kikiKwani kuna mtu analazimishwa kwenda huko? Na isitoshe wanaoenda ni watu wazima!
Serikali inajiendesha bila utaratibu! Yaani watu wanaoanza shughuli na biashara, serikali haina habari, wala kujua kuwa kuna sheria zinakiukwa na hivyo taasisi, ni mpaka wanapotokea kufanya jambo tofauti na ukiukwaji ya hiyo sheria, ndio serikali inaamka kutoka usingizini na kuifungia biashara. Hamna utaratibu wa kufuatilia usajili na hatimae mwenendo wa biashara? Kungekuwa na huo utaratibu haya mengine ya kwenda kinyume na maadili yasingetokea.View attachment 2796573
Ni uamuzi wa Serikali kupitia Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Doroth Gwajima ikiwa ni baada ya Video ya Tangazo la huduma za 'Massage' iliyowekwa Mitandaoni, kuripotiwa kuwa ina Vitendo vilivyo kinyume na maadili.
Kwa mujibu wa taarifa ya Wizara hiyo, huduma za Kituo zimesitishwa kuanzia Oktoba 26, 2023 kutokana na kutokidhi vigezo vya Sheria Namba 23 ya Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala, pia mmiliki ametozwa faini ya Tsh. Laki 5 pamoja na kupewa maelekezo mengine ambayo kama atayakiuka atafikishwa Mahakamani.
Pia,, Waziri Gwajima ameelekeza Mamlaka Husika kuwafuatilia Watoa Huduma wengine ili kuwabaini wasiotimiza matakwa ya Sheria na ikiwemo kuathiri Ustawi wa Jamii na kuchochea Mmomonyoko wa Maadili unaosababisha matukio ya Unyanyasaji, Udhalilishaji wa Kijinsia ambapo waaathirika wakuu ni Watoto.
Aidha, Wizara imetoa mawasiliano ya moja kwa moja kwa wanaotaka kuripoti masuala mbalimbali Wizarani watumie namba 0734 986503 na 026 2160250, matukio ya Ukatili wa Watoto namba 116 Saa 24 kila siku bila malipo. Na iwapo Waziri mwenye dhamana atahitajika, tuma ujumbe kwenye namba 0765 345777 na 0734 124191.
=============
Ya zima moto!Waziri gwajima anafanya kazi vizuri sana [emoji122][emoji122]
Zina shida gani??Bora aisee,zile massage siyo kabisa..