Serikali yasitisha leseni ya kuchapisha na kusambaza Gazeti la Tanzania Daima kuanzia Juni 24, 2020

Mwananchi naye ajiandae. Mwenzako akinyolewa wewe kichwani tia maji, tunaitaji kusoma magezeti ya uhuru na Mzalendo magezeti ya chama. Mungu ibariki Tanzania
 
Hakili-akili
Hodali- hodari
Jitahidi kurudi shule elimu ya watu wa wazima bado ipo.
 
Chadema nichama cha heche,mbowe, lema, msigwa, myika, na wale wakusagana wawili.
Wengine ndani ya chadema ni bendera fata upepo.
Sugu na mbilinyi ni wa daraja la pili.

Tafakari, chukua hatua.

Huu uzi wako umekaa kimbea mbea tu! Hata hueleweki umelenga nini hasa! Umeanza kwa kulihusisha hilo gazeti la Tanzania Daima na Takukuru!

Mara Chadema ni chama cha Heche, Mbowe, nk! Kuandika kwenyewe tu nako ni tatizo!! Mh. Mnyika unamuita myika! Hata hufahamu Sugu na Mbilinyi ni mtu huyo huyo!!

Kama kweli na wewe unalipwa buku 7 kwa siku hapo Lumumba, basi chama kinaingia hasara ya kujitakia.
 
Mh samia suruhu Ebu turudishie raha ya uhuru kwa vyombo vya habari

Life ban ya Tz daima tupia jicho la tatu na mengine mengi kurudisha mshikamano wa Taifq
 
Pole yao sana...

Kwa nini sasa walikua wanarudia rudia makosa...
 
Aiseeee JIWE alikuwa balaa kuminya vyombo vya habari ,mama amerudisha tabasamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…