Jumarwambo
New Member
- Apr 6, 2018
- 2
- 0
Mipaka nayo Wafunge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mipaka nayo Wafunge
Nyinyi ni aina ya walalamikaji tu kwani jambo likifanywa huwa wa kwanza kulalamika na lisipofanywa hulalamika pia. Hatuna muda nanyi endeleeni tu wakati wenzenu wanapambana usiku na mchana.
wafunge2 airport zote nchini.
Exactly yes, hivi vitoto kuwa shule chini ya uangalizi makini wa waalim ni kinga tosha kuliko kuwaacha wazurure mitaani,Wangefunga mipaka ya nchi kwanza.....kufunga shule na colleges naona nikama ku overate covid 19, hapa kwetu kwanza naona wanafunzi wako salama kubaki mashuleni, kuliko kuwaruhusu wazurule mitaani na kuchangamana na watu wengi......
Sent using Jamii Forums mobile app
notedMipaka nayo Wafunge
Leo wanaomba hiki kikombe kiwapite!. Kipo kwenye menu sasa, kazi ni kwao kuipooza au kunywa ikiwa ya moto.Walikuwa wanawacheka wachina walipojenga hospital haraka haraka kwa siku 10 kwa ajili ya huu ugonjwa..hawakujua utafika mpaka huku
Any private or public office closedMachinga business halted, TRA offices closed.
Free ModeWaziri Mkuu Kassim Majaliwa amesitisha masomo kwa vyuo vikuu na vya kati nchini kuanzia leo March 18, 2020 ili kujikinga na virusi vya Corona, waliofunga wametakiwa kutorudi vyuoni “vyuo vya ualimu vilitakiwa kufanya Mitihani mwezi May, Waziri afanye marekebishisho ya ratiba yao”
View attachment 1391653
========Waziri mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa walikuwa wamesitisha masomo kwa shule za awali, msingi na sekondari zote nchini.Lakini leo serikali imeongeza kusitisha masomo kwa vyuo vya kati na vyuo vukuu vyote nchini."Sasa leo tunaendelea kuongeza vyuo vya elimu ya kati na vyuo vikuu vyote nchini, navyo pia tunasitisha kuendelea na masomo.Tunatambua vyuo vikuu wanafunzi wengi wako likizo na sasa tunawataka kutokurudi kwenye vyuo vyao, na wale wachache waliokuwa wamebaki kwa ajili ya mitihani nao waondoke mara moja ili kuondoa misongamano kwenye maeneo hayo ya vyuo.Tunavyo zungumzia vyuo vya kati tunazungumzia vyuo vya ufundi na vyuo vya ualimu, tunatambua wanafunzi wa vyuo vya ualimu walitarajia kufanya mitihani mwezi mei mwaka huu, namwagiza waziri wa elimu kufanya marekebisho kwenye mihula yao, kama ambavyo tulimtaka kufanya marekebisho kwenye mihula ya shule za sekondari kidato cha sita."
